Tetesi: Yawezekana kuna mstaafu anajilaumu kwanini alitoka kwa mujibu wa katiba wakati kumbe angeweza kubakia kinyume na katiba na kukawa shwari

Tetesi: Yawezekana kuna mstaafu anajilaumu kwanini alitoka kwa mujibu wa katiba wakati kumbe angeweza kubakia kinyume na katiba na kukawa shwari

Chalala cha watu; chalala cha wewe; utaka upata.
Wao ni wewe na huwezi kufanya yao.
 
Nimewaza tu, huenda anajilaumu kwa kuwa alihofia kisicho hofiwa.
Hizi sasa ni ramli chonganishi.

Just the facts, please.

Screen-Shot-2019-12-12-at-3.23.32-PM-copy.png
 
Aisee,Kikwete hta akirud leo me ntampigia kura....ndo Rais wangu Bora kuliko marais wote waliowahi kuongoza Hili taifa
 
Anawashwa washwa. Ila nasikia yeye ndo mshika remote

Mnaogopa kusema wazi wakati Rais alitamka wazi mbele ya hadhara kuwa hata yeye ana boss wake ambaye ni Msoga.

Huo ulikuwa ni ujumbe mzito kwa wananchi kuwa hana uwezo wa kuamua chochote mpaka aruhusiwe na boss wake.

Hii ina maana Msoga alimaliza miaka yake 10, halafu sahizi amemaliza miaka 4 kwa jina la mama, anataka tena 5 kupitia mama, na huenda kama atakuwa hai, atataka mingine 10 kwa jina la mwanae. Huyu ni mseveni wetu, lakini kwa kupitia majina ya watu wengine. Ndiyo maana wakati wote anawataka wale ambao anajua hawana uwezo wa kusimama wenyewe, ambao wanajua kabisa ni yeye aliyewasimika, hivyo ni lazima watakuwa watiifu kwake, na siyo kwa wapigakura.
 
Mnaogopa kusema wazi wakati Rais alitamka wazi mbele ya hadhara kuwa hata yeye ana boss wake ambaye ni Msoga.

Huo ulikuwa ni ujumbe mzito kwa wananchi kuwa hana uwezo wa kuamua chochote mpaka aruhusiwe na boss wake.

Hii ina maana Msoga alimaliza miaka yake 10, halafu sahizi amemaliza miaka 4 kwa jina la mama, anataka tena 5 kupitia mama, na huenda kama atakuwa hai, atataka mingine 10 kwa jina la mwanae. Huyu ni mseveni wetu, lakini kwa kupitia majina ya watu wengine. Ndiyo maana wakati wote anawataka wale ambao anajua hawana uwezo wa kusimama wenyewe, ambao wanajua kabisa ni yeye aliyewasimika, hivyo ni lazima watakuwa watiifu kwake, na siyo kwa wapigakura.
Kuna kauli ukiisikia unabaki tu kushika kichwa.
 
Back
Top Bottom