Yawahusu wanawake wa jf tu

unakaribishwa tena sana kwa moyo mkunjufu ila naomba uniPM unipe hiyo bajeti yako utakayopanga pls niko serious
mi naomba niwe mpanga bajeti...halafu acheni ku2nyanyapaa bhana
 
david2010 lete maoni na ushauri wako best uwanja ni wako
 
Last edited by a moderator:
sina hamu na kujuana na watu asee!!!! kuna mdada nilikutana nae humu najuta kumfahamu, hanijui simjui jf ikatukutanisha hata wiki haijaisha kishagawa na namba yangu.... tujuane tu kwa keyboard tu.
 
sina hamu na kujuana na watu asee!!!! kuna mdada nilikutana nae humu najuta kumfahamu, hanijui simjui jf ikatukutanisha hata wiki haijaisha kishagawa na namba yangu.... tujuane tu kwa keyboard tu.

hata wanaume?
 

upuuzi mtupu
 

Yani umekaaaaaaaaa then ndo umekuja na wazo hili la kijinga eh/

hebu acha upuuzi wako. sasa ukija jua mi ni dada yako na wanawake wengine humu ni nduguzo tu si utachoka ukizingatia michango yao hapa JF.

hili wazo halitekelezeki
 
asante ubarikiwe nashukuru sana ila jua kuwa linatekelezeka kwani tumeshaanza mchakato na wenye mji huu, kwa hiyo kauli yako imeshindwa na imelegea kwa jina la Bwana Mungu ila ubarikiwe sana
Yani umekaaaaaaaaa then ndo umekuja na wazo hili la kijinga eh/

hebu acha upuuzi wako. sasa ukija jua mi ni dada yako na wanawake wengine humu ni nduguzo tu si utachoka ukizingatia michango yao hapa JF.

hili wazo halitekelezeki
 
asante ubarikiwe nashukuru sana ila jua kuwa linatekelezeka kwani tumeshaanza mchakato na wenye mji huu, kwa hiyo kauli yako imeshindwa na imelegea kwa jina la Bwana Mungu ila ubarikiwe sana

hebu acha kumuingiza Mungu kwenye ujinga na umbea wenu, eti wenye mji huu, lo mtakua nyie mnaoshinda JF?

ANYWAY. AMINA
 
Mie Nitawa-Disappoint wapenzi ingawa natamani naogopa kujimix na makundi ni baada ya kukumbwa na mikasa mingi mpaka kuhisi nachanganyikiwa na mashoga niliokuwa nao sasa nishaamua kujituliza home kama kasuku nina amani moyoni ila ni wazo zuri sana
 
Naunga mkono, na kama tunaweza kutumia fursa hii kuendeleza jamii yetu, mimi naamini wanawake tunawenza kuleta mabadiliko mengi katika jamii kama tu tukiweza shirikiana na kuhabarishana mambo yanayoendelea sehemu tofauti kupeana challenge thats all
 
Ni wazo zuri ila wanawake wengi tukishakutana hatupikiki chungu kimoja
Halafu naogopaje watu wengi nisio wajua manake binadamu tumetofautiana,kila mtu na tabia zake.
Labda kwa wale wanaohitaji kuanzisha waungane,kama namna ya kuunda marafiki wapya

Nimesoma post nyingi sana sana naona sisi wanawawake wenyew tunalalamika tuna matatizo kila post

Kumbe tunajijua ni kweli tuna matatizo ?

Ila mie natamfuta mmoja tu mpenda mungu .mwenye umri kidogo ili tuwe tunashauliana ..Maana kwenye maisha kuna mastress unaweza kutembea umevua nguo..watu wakasema hee FL1 amekuwa vip kumbe maswaiba tu yanatesa ..
 
Juzi tu tumeenda kwenye white party watu washaanza kusema walioenda ni mijimama mipashkuna?!!wakati watu tuna heshima zetu.Sasa kwa aina hii ya mitazamo itakuwa ngumu sana

hahaha bi dada mbona unanichekesha ..kuna watu huwa hawakosi la kuongea ..dah
 
asante kwa maoni yako best ubarikiwe nimeshawauzia mafounder wetu wazo hili na wanalifanyika kazi hivyo soon litajitokeza usijali tumwombe Mungu tu atatuwezesha na kuwaondoa hao vikasirani wanaotaka kutuchafua humu mjengoni
Naunga mkono, na kama tunaweza kutumia fursa hii kuendeleza jamii yetu, mimi naamini wanawake tunawenza kuleta mabadiliko mengi katika jamii kama tu tukiweza shirikiana na kuhabarishana mambo yanayoendelea sehemu tofauti kupeana challenge thats all
 
njoo niPM tu uisijali best mm sina neno lolote wewe tu wakaribishwa best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…