YAVUZ YAKUZ......

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
27,407
Reaction score
54,850
Mapenzi yamekua changamoto sana kipindi hiki...
Ila haya ni maneno mawili ambayo yatafanya upate mpenzi ambaye atakutii na wewe utamtii yaani kiufupi mtatiana...

Maneno haya ni mawili tuu YAKUZ NA YAVUZI..

Kaa ndani peke yako hakikisha kama wa kike ujafanya mapenzi week moja kabla na kama wakiume hv hv wala ujapiga nyeto.

Maneno haya unayasema mara mia tatu ...150 YAKUZ, 150 YAVUZ.....

BAADA YA HAPO NASUBIRI MAJIBU HAPA.. KARIBUNI JA NAKARIBISHA MASWALI
 
Hee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…