Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Mawimbi kwenye luninga zetu si mazuri hata kidogo. Matangazo yanakwamakwama. Hayapendezi. Yanakera. Pia,wengi wetu hawapati kabisa matangazo ya luninga kwa kukosa ving'amuzi au kushindwa kulipa. Wanaachwa nyuma. Hawahabariki. Ni muda wa kurejea kwenye Analojia. Safari yetu toka Analojia hadi Dijitali haikuandaliwa vyema. Tusione haya kuifuta.