😂😂😂😂Sasa kwa nini unajifunza kutoka kwa akiNewton kwanini usijifunze kutoka kwa mwana malundi.
Sasa kwa nini unajifunza kutoka kwa akiNewton kwanini usijifunze kutoka kwa mwana malundi.
Labda ndio katoka kuinunua life savings zote zimeishia kwenye hiyo gari,kwa hiyo ameona bora awe mlo wa mamba kufa kufaana.Kuna vifo vingine unakuwa umepigiwa simu na umekubali mwenyewe, mfano huyo bwege alieshikilia pick up mpaka inazama kashikilia tu, anayaona mamtumbwi yapo karibu just kufanya jitihada kidogo tu upate usaidize anabakia kama sanamu mlangoni, pumbavu kbs.