Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Kiziwi(me) vs kipofu(ke)kipofu vs kiziwi
Nd'o umeamanisha Rose?
Kiziwi(me) vs kipofu(ke)kipofu vs kiziwi
Ina maana umenidanganya mpaka leo namsaliti mume wangu,kumbe ndio mchezo wake na ameshazoea.
tena muwe mnawasikiliza hata lafudhi zao ...ili mtwambie....kama wazoefu.... zaidi ni wa pande gani?
gosh!Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!
MMMMMMMMmmmmmmmmh
Kama hujazoea si uache????
Jeezumesahau " unajua mume wangu ananiamini sana........."
Geez'nakupa lakini usirudie tena kuniambia haya mambo'.Hii ulisahau te te teh
nashindwa kuaminiIna maana umenidanganya mpaka leo namsaliti mume wangu,kumbe ndio mchezo wake na ameshazoea.
Na weweyani siamini kama namsaliti mme wangu pls tusirudie tena cjui nitamtizamaje mme wangu
so hard to believeumesahau na hii... Hv unajua toka nifunge ndoa ww ndo mwnaume wa kwnza knifundisha kutoka nje ya ndoa yng?. Cjui umeniwekea nin mpk nmekukbalia!
du inaonysha kama nyie wote nyie mnakula wake za watu god forbidwaongo tu
gosh!
Jeez
Geez
nashindwa kuamini
Na wewe
so hard to believe
du inaonysha kama nyie wote nyie mnakula wake za watu god forbid
Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!
Kama hujazoea si uache????
umesahau " unajua mume wangu ananiamini sana........."
'nakupa lakini usirudie tena kuniambia haya mambo'.Hii ulisahau te te teh
Ina maana umenidanganya mpaka leo namsaliti mume wangu,kumbe ndio mchezo wake na ameshazoea.
yani siamini kama namsaliti mme wangu pls tusirudie tena cjui nitamtizamaje mme wangu
umesahau na hii... Hv unajua toka nifunge ndoa ww ndo mwnaume wa kwnza knifundisha kutoka nje ya ndoa yng?. Cjui umeniwekea nin mpk nmekukbalia!
Usiwahukumu wote katika fungu moja mama,kwani si wote watembeao na wake za watu,wengine ni wazee wa chabos.
sawa mheshimiwa koment zao ndo zimenifanya nisemehe haya ,nimesoma katikati ya mistari,
happy new year Paka Mweusi
Anasema maneno hayo wakati imeshapotea limebaki shina na maneno yakichokozi utasikia namwonea wivu mkeo unamb....nzuri kama ilitengenezwa special kwa ajili yangu!!Dam!!!Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!
Kama hujazoea si uache????
my favourite ni hiii......
mume wangu mkali sana,akijua ataniua....lol
Teh teh. Another good one after all is said and DONE ni hii:
...'Ngoja mi nitangulie kutoka!... Nikifika nyumbani hayupo nitakubeep'!!
Kweli we ni mzoefu yani hiyo hapo juu ni kweli tupu.
Akikuta yupo ata ku text, Mr yupo bye,
<font color="blue"><font face="Century Gothic">Duh bora niendelee kuwa single but commited!!!</font></font>