Yapi yanakukera ndani ya JF

Yapi yanakukera ndani ya JF

mimi kinachonikera humu JF ni member kutumia maneno haya,
vepee
jomon
tyu
kwendraaa

ongeza na mengine.
 
Naichukia sana JF baada ya kuona uwezo/kiwango cha watu mahiri katika kutoa mada (chakula ya Ubongo) kupungua kama si kupotea kabisa...!

Tumebaki na Jembe moja tu Mshana Jr...
 
Back
Top Bottom