Yapi madhara ya kutumia sana ndimu/limao?

Yapi madhara ya kutumia sana ndimu/limao?

Kuna jamaa uwa ana changanya maji ya limao kwenye chai kila siku

Dark Side
 
Ooh! I should stop ASAP... Kuna kipindi nilistop kabisa kula malimao baada ya mtu mmoja kuniambia yanatasababisha damu iwe nyepesi. Baada ya kuacha niliongezeka

Sahivi nimeanza tena, na wananchi wanaonizunguka washaanza kuniambia napungua.
Mwisho jioni hii nimekula limao lizima kabisa

Achana na malimao. Kunywa bia


Sent using Kirikuu
 
Kula malimao na ndimu kupita kiasi kutapelekea damu yako kuwa na alkaline nyingi (alkalosis). Mwili wa binadamu unatakiwa katika balanced level, kuwa kwenye kiwango sawa acid wala alkaline isizidi.

Alkalosis inaleta matatizo kwenye mapafu wakati wa gas exchange pia inasababisha madhara kwenye figo wakati wa kuchuja damu.
Duh rejea chemistry

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimenza kula malimao kabla hata ya corona na ni kitu napends sana, Per day tu asubuhi supu lazima iwe na limao na chakula cha mchana pia lazima liwepo labda usiku wastani natumia malimao mawili just per day na huwa sitegemei restaurant.

Huwa natembea nayo nkifika hawana natoa yangu nakata naweka kwenye mboga, pia kwa inshu kama Gin au sprit limao inaleta taste fulani nzuri saana uki mix slice za lemon na barafu
 
Kula malimao na ndimu kupita kiasi kutapelekea damu yako kuwa na alkaline nyingi (alkalosis). Mwili wa binadamu unatakiwa katika balanced level, kuwa kwenye kiwango sawa acid wala alkaline isizidi.

Alkalosis inaleta matatizo kwenye mapafu wakati wa gas exchange pia inasababisha madhara kwenye figo wakati wa kuchuja damu.
Kwa uelewa wangu limao/ndimu ni citrus fruits ambazo zina acid kwa wingi na sio alkali
Ebu nisaidie hapa bado umeniacha mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula malimao na ndimu kupita kiasi kutapelekea damu yako kuwa na alkaline nyingi (alkalosis). Mwili wa binadamu unatakiwa katika balanced level, kuwa kwenye kiwango sawa acid wala alkaline isizidi.

Alkalosis inaleta matatizo kwenye mapafu wakati wa gas exchange pia inasababisha madhara kwenye figo wakati wa kuchuja damu.
Mtatuua kwa pressure ambao hata kuchuja ile mixer ya Big 5(Limao,Tangawizi, P/Kichaa, K/swaumu na K/maji) hatuchuji kwa hofu ya kopoteza mali.
 
mtatuua kwa pressure ambao hata kuchuja ile mixer ya Big 5(Limao,Tangawizi, P/Kichaa, K/swaumu na K/maji) hatuchuji kwa hofu ya kopoteza mali.
Hii mixer inaleta kizunguzungu ukinywa kwa spidi kali. Chukua Tahadhari.
 
Anything too much is harmful hata maji ukizidisha katika mwili nayo ni tatizo kwahiyo tumia limao/ndimu kwa kihasi maana contects zinazopatikana kwenye limao/ndimu(Vitamin C) hazihifadhiwi na mwili.
 
Back
Top Bottom