vkeisy
2006 13:41 29th June 2015
We ni mwanaume umeshamcheat mkeo zaid hata ya
mara kumi na manyanyaso madogo madogo ye
anakuangalia tu sababu kashapigana sana...kashakuonya
sana lkn unaonyesha humpendi yaani kama umemchoka
fulani hivi.
Sasa mkeo kaona aanze mambo yake kunywa anarud saa
nane siku ingine anakukuta ndani nahisi na hukohuko
akapata bwana.
Lakini we hujui na cm yake hushikagi kwanza lakini kuna
siku ukakumbuka utam wa mkeo ukaona ngoja umfatilie
kidogo hamadi unakutana meseji kwenye cm ya mke
wako mpendwa mliyeapa kwa shida na raha mtapendana
untill death do u apart.
Tena meseji nzito anamwambia jamaa yake "nimemiss
unavyonikojoza" mana huku naguswa tu jamaa kazubaa
sana yn hafikishi, Keshokutwa tukapeane wangu.
Hapo kashakufumania sana wewe na anajua bado upo na
mahusiano na hawara yako mmoja na mnajiachiaga huko
mjini.
Hivi hapa ungekua we ndo mwanaume unafanyaje na je
huyu mwanamke nimfanyaje nimuache nimkate hichi
kiungo chake cha uzazi, nimpoteze duniani au nimfanyaje.
Kanidhalilisha sana kusema eti sifikiagi, huyu ni
mwanaume analalamika.
Hivi tumshaurije huyu na huyu dada je.
2006 13:41 29th June 2015
We ni mwanaume umeshamcheat mkeo zaid hata ya
mara kumi na manyanyaso madogo madogo ye
anakuangalia tu sababu kashapigana sana...kashakuonya
sana lkn unaonyesha humpendi yaani kama umemchoka
fulani hivi.
Sasa mkeo kaona aanze mambo yake kunywa anarud saa
nane siku ingine anakukuta ndani nahisi na hukohuko
akapata bwana.
Lakini we hujui na cm yake hushikagi kwanza lakini kuna
siku ukakumbuka utam wa mkeo ukaona ngoja umfatilie
kidogo hamadi unakutana meseji kwenye cm ya mke
wako mpendwa mliyeapa kwa shida na raha mtapendana
untill death do u apart.
Tena meseji nzito anamwambia jamaa yake "nimemiss
unavyonikojoza" mana huku naguswa tu jamaa kazubaa
sana yn hafikishi, Keshokutwa tukapeane wangu.
Hapo kashakufumania sana wewe na anajua bado upo na
mahusiano na hawara yako mmoja na mnajiachiaga huko
mjini.
Hivi hapa ungekua we ndo mwanaume unafanyaje na je
huyu mwanamke nimfanyaje nimuache nimkate hichi
kiungo chake cha uzazi, nimpoteze duniani au nimfanyaje.
Kanidhalilisha sana kusema eti sifikiagi, huyu ni
mwanaume analalamika.
Hivi tumshaurije huyu na huyu dada je.