Yani wanaume jamani

Yani wanaume jamani

Ndo Tulivo Sisi Wanaume, Sasa Utafanyaje ?
 
Kwa hayo mawazo yako nimeelewa kwani nyoka alimfuata Eve badala ya Adam ...u av something in common wit Lucifer
 
Tatizo lipo kwenu kina dada, mkiambiwa ukweli, mnakataa, mkidanganywa, mnakubali.
Kingine, mnataka mwanaume ambaye kamwe hawezi kupatikana ndani ya Dunia hii: mzuri, anafedha, mpole, anamuda na wewe, si mtumiaji vilevi/sigara, hachepuki, anakupenda na kukufikisha.
Chagueni moja, kubadilika au kujifunza kuishi na hasira zenu.
 
Kwanini unataka Gegedo likugegede ww tu wakati mnajua tupo wachache Au hutambui kuwa sisi boys hapa duniani hata kila mmoja achukue ladies wa nne bado mtabaki?? kuwa mpole na wenzio wana hamu harafu kizuri kula na nduguyo

hakuna.......
 
Mmmh sio bure kuna kitu hapo. Au jamaa kafumua marinda ya mtandao wetu pendwa? Ila mianaume ndo tulivo shikamoo Mentor

haaaa wewe hata kwa mtutu kwanza harusiwi hata kuongelea sehem hizo........weee........si ungesikia taarifa kwenye jiji letu leo jion....
 
Yashamkuta huyu,au panawasha?

pameumbwa kwa shuhuli hiyooo.......so sidhani kma panaweza kuwashwa kwa namna hy unayoongelea wewe....hapana kwa kweli ni provocation tu......
 
Njia rahisi ya kupunguza hasira bibie chukua nyundo na misumari nenda relini pigilia misumali juu ya reli kumbuka misumali isipungue 1kg

hahahahhahahha hahahhahaha sio kwa kujichosha huko khaaaa lazima hasira ziishe duh:wacko:
 
Back
Top Bottom