Mzuqa wanajamvi!
Kuna dogo flani nimjivuni Sana halaf anamashindano flan Na Mimi. Kaliletwaga long time hapa Na maza yake.
Mara ya kwanza kufahamiana naye 2010alikuwa akiongea kwenye simu kiswahili nikamuuliza dah Kumbe mbongo tukawa tunachonga. Aliniudhi nakuniambia Sasa wote mkija huku Nani atabaki bongo nikamjibu mbona wewe huko hapa si urudi ukazibe Hilo pengo tuliloliacha?
Sasa Leo tumekutana naye baada ya muda mrefu. Dharau zake Kama kawa, bado tu unapiga kifagio nikamjibu ndio tatizo liko wapi? Gari unalo nikamjibu Sina akacheka nakuniambia Yani mda wote huo hupo hapa huna gari?
Nikataka kunyofoa simu Na wallet mfukoni nikaamua nimpotezee.
Gari Ni symbol ya ufahari/prestige.
Kuna dogo flani nimjivuni Sana halaf anamashindano flan Na Mimi. Kaliletwaga long time hapa Na maza yake.
Mara ya kwanza kufahamiana naye 2010alikuwa akiongea kwenye simu kiswahili nikamuuliza dah Kumbe mbongo tukawa tunachonga. Aliniudhi nakuniambia Sasa wote mkija huku Nani atabaki bongo nikamjibu mbona wewe huko hapa si urudi ukazibe Hilo pengo tuliloliacha?
Sasa Leo tumekutana naye baada ya muda mrefu. Dharau zake Kama kawa, bado tu unapiga kifagio nikamjibu ndio tatizo liko wapi? Gari unalo nikamjibu Sina akacheka nakuniambia Yani mda wote huo hupo hapa huna gari?
Nikataka kunyofoa simu Na wallet mfukoni nikaamua nimpotezee.
Gari Ni symbol ya ufahari/prestige.