Yangaccm

Yangaccm

willy ze great

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,083
Reaction score
1,326
Yanga inapoteza umarufu wake kwa kuwa na tabia kama za ccm mwisho wa siku itafuria.yangaccm sasa inapinga azam kurusha matangazo ya mpira hivo wanataka watu wa vijijini waje dar kuangalia mpira wao wakinafki shame on you azamu wanataka kila mtanzania aone vpl afu nyie mnapinga kisa mnawashabiki wengi endeleeeni hapo wana jf
 
Yanga inapoteza umarufu wake kwa kuwa na tabia kama za ccm mwisho wa siku itafuria.yangaccm sasa inapinga azam kurusha matangazo ya mpira hivo wanataka watu wa vijijini waje dar kuangalia mpira wao wakinafki shame on you azamu wanataka kila mtanzania aone vpl afu nyie mnapinga kisa mnawashabiki wengi endeleeeni hapo wana jf

Huko kijijini kwenu mnavyo ving'amuzi vya A am Tv? Mburura ni mburura tu.
 
Yanga inapoteza umarufu wake kwa kuwa na tabia kama za ccm mwisho wa siku itafuria.yangaccm sasa inapinga azam kurusha matangazo ya mpira hivo wanataka watu wa vijijini waje dar kuangalia mpira wao wakinafki shame on you azamu wanataka kila mtanzania aone vpl afu nyie mnapinga kisa mnawashabiki wengi endeleeeni hapo wana jf

Kama Yanga ni CCM, Azam ni CUF? na Simba ni NCCR-Mageuzi?
 
Kufuria ndio nini?
We wakala nini wa hivyo ving'amuzi?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Dah, pole sana Yanga haina njaa yakuitolea macho 100mill, kama timu yako.
 
Yanga inapoteza umarufu wake kwa kuwa na tabia kama za ccm mwisho wa siku itafuria.yangaccm sasa inapinga azam kurusha matangazo ya mpira hivo wanataka watu wa vijijini waje dar kuangalia mpira wao wakinafki shame on you azamu wanataka kila mtanzania aone vpl afu nyie mnapinga kisa mnawashabiki wengi endeleeeni hapo wana jf
Kuna dhana mbili potofu sana kwenye hoja yako ambazo kama si kutaka zibaki kama fundisho juu ya namna mbaya ya kuwasilisha hoja, ningemwomba mratibu (moderator) aiondoe hoja yako mara moja. (1) Yanga haijapinga Azam kurusha matangazo ya mpira; imekataza mechi zake tu ndio zisionyeshwe. (2) Kwa hivyo Yanga haijataka watu wa vijijini waje Dar kuangalia VPL. Walichotaka ni Watanzania kutoona mechi za Yanga kupitia Azam Media TV (ambayo hadi sasa haipo). Huenda hilo unaloishutumia Yanga la kuwakosesha Watanzania kuiona VPL ndio litalotokea iwapo hiyo Azam Media TV haitakuwa tayari mwishoni mwa mwezi huu Ligi itapoanza.
Shame is not on Yanga, but on you who draws wrong conclusions out of elaborate Yanga statement, most probably out of your biased fanatism.
 
Yanga inapoteza umarufu wake kwa kuwa na tabia kama za ccm mwisho wa siku itafuria.yangaccm sasa inapinga azam kurusha matangazo ya mpira hivo wanataka watu wa vijijini waje dar kuangalia mpira wao wakinafki shame on you azamu wanataka kila mtanzania aone vpl afu nyie mnapinga kisa mnawashabiki wengi endeleeeni hapo wana jf

Kwa kuwa shule yako ni ya kata, fuatilia mkokotoo huu:
Kama Yanga = CCM
Rage ni {CCM} basi
Rage ni {Yanga}.
Nadhani umenielewa.
 
Wapumbavu utawajua kwa kauli zao Rage anavaa jez gan na shuka zake kijan na njano mbulula ww
 
who let the dog out,yanga haina njaa ya kipumbavu kama mlivyo nyie mamburura ndio walewale mnaoingia mikataba feki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom