Hivi hadhi yangu unaijua hadi ukalinganisha na ya kwako? Kaendelee kupumuliwa kisogoni !Una stress za kupiga magoti. Aliyesema anaidai Yanga ni mwenyekiti wako. Swali muulize yeye.Huna hadhi ya kutukanwa na mimi. Najua unawashwa tafuta mkunaji.
Hijo de putaKapumuliwa mamako ukatoka wewe piece of shit.
Rudini kwenye mada vinginevyo ntapigwa ban..!Hivi hadhi yangu unaijua hadi ukalinganisha na ya kwako? Kaendelee kupumuliwa kisogoni !
Mkuu, sina tatizo hata siku moja. Anaacha hoja anaanza lugha za matusi. Mara Zuzu mara hamnazo. Yanatoka wapi hayo?Rudini kwenye mada vinginevyo ntapigwa ban..!
Jamaa anaidai Mkodisho FC bil 11 na yeye anadaiwa bil 13 jikiteni hapo
NENDENI SERIKALINI WAWAPE PESA MAANA HAWATAKI MPATE PESA KUPITIA MFUMO MPYA WA UENDESHAJI CLUB WANATAKA MUWE MASIKINI KIASI CHA KUMTEGEMEA MTU MMOJA KAMA ILIVYO SASA.Kwani mlimyimwa? Simlizikataa wenyewe? Manji kawawekea ngumu ndio mnazikumbuka hizo hela. Kweli Yanga ni vichwa panzi.
Mjinga sio tusi hata siku moja. Mjinga ni ignorant - asiyejua kitu fulani. Kila binadamu ni mjinga wa kitu fulani maana hakuna anayejua kila kitu.Ukianza kutukana utatukanwa. Ukija kistaarabu utajibiwa kiustaarabu. Mmetukana tumevumilia. Kuitwa zuzu na kuwaita wengine wajinga hamna tofauti.
Tatizo lipo mkuu.. usingemrudishia kama hivyo, Ngarna ameteleza tu kwasababu namjua ni timu ushindi wote pale msimbaziMkuu, sina tatizo hata siku moja. Anaacha hoja anaanza lugha za matusi. Mara Zuzu mara hamnazo. Yanatoka wapi hayo?
Akiandika kama wewe kuna tatizo gani?
Tatizo lipo mkuu.. usingemrudishia kama hivyo, Ngarna ameteleza tu kwasababu namjua ni timu ushindi wote pale msimbazi
Ila kiukweli mmekwama kwa sasa kukumbuka pesa za TFF ambazo mliachana nazo hiyo yote ni fresha ya mishahara na Simba SC mlipe 50 ml
Na leo ntatembelea kucha dhidi ya Ndanda FC
Kwa hili la tafsiri, tukubaliane kutokubaliana. Kwanga mjinga ni ignorant. Mpumba.vu ndiyo stupid. Ni vitu viwili tofautiKama unakubali kuitwa mjinga kwa tafsiri yako hilo ni juu yako.Mjinga ni stupid,fool,dunderhead.
Hata siku moja Simba SC haifanyi huo upuuzi wa gharama kwa timu pinzani.. mchezo huo upo pale jangwani Toto Africa ikija hapa kila kituAt least umetambua kwamba aliteleza.
Hizo za Kessy mmeshauriwa na Rage msichukue. Lakini jinsi mlivyo na njaa, tayari mmeandika barua TFF kuzidai.
Ndanda atatulizwa hata kama mmempa kila kitu ili ashinde au kutoa draw na Yanga.
Hata siku moja Simba SC haifanyi huo upuuzi wa gharama kwa timu pinzani.. mchezo huo upo pale jangwani Toto Africa ikija hapa kila kitu
Na juzi kuna shabiki wa Yanga alisema hawa viongozi ni ovyo sana yaani wanaacha kulipa mishahara wachezaji, wao wang'ang'ania JKT kulipia hotel ili Mnyama afungwe na huyo ni yanga damu
Narudi tena utamaduni huo Simba SC hakuna ndio maana hata zile timu za Azam, Mtibwa, African lion mnazodai kuwa ni matawi ya Simba ushindani wake si kitoto zinaifunga SimbaWala hujakosea. Lakini kubali kwamba mchezo huu unafanyika na timu zote mbili. Ndiyo mpira wa Bongo. Najua wote wanafanya. Azam alijaribu hadi kwa waamuzi wakati ule. sijui kwa sasa.
Ha ha.. mkuu nakumbuka hiyo issue hii timu ya Toto Africa inakera sana inadidimiza soka.. Rage alisema kuwa haiwezekani timu isajili kwa gharama wachezaji professional halafu timu inunue mechi..!Sio kufua dafu tu.Msimu uliopita Mwenyekiti wa Toto alitangaza kabisa kwamba yeye ni Yanga tena siku mbili kabla ya mechi na Yanga .Unategemea nini?Mwizi wa mifukoni akipanda daladala anachunga mfuko wake kwani anadhani wote waliomzunguka ni wezi kama yeye.