nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,771
- 5,315
haki yenu kivipi??Mkuu, haki yetu iko pale pale.
Jamaa wameanza kuweka vikwazo maana walishazikopa siku nyingi
Utasikia mtafutano mkubwa
mkataba upo wapi??
bodi yaligi na tff hakikisheni hawa vyura wakiingia mkataba ndio waanze kulipwa kuanzia siku ya mkataba kwenda mbele na sio kulipa madeni ambayo hayapo kwenye mkataba!
mtaanza kulipwa effective kulingana na tarehe ya mkataba!!