Tetesi: Yanga waweka mezani TSh. 750 milioni kuinasa saini ya Fei Toto na mshahara wa TSh. 40 milioni kwa mwezi

Tetesi: Yanga waweka mezani TSh. 750 milioni kuinasa saini ya Fei Toto na mshahara wa TSh. 40 milioni kwa mwezi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Imefichuka kuwa klabu ya Yanga imemwaga dau nono ili kumshawishi kiungo mahiri Feisal Salum "Fei Toto" kurejea Jangwani. Kwa mujibu wa taarifa, Yanga wameweka mezani ofa ya shilingi milioni 750 kama sign-on fee pamoja na mkataba wa miaka miwili. Aidha, kiungo huyo ameahidiwa mshahara wa shilingi milioni 40 kwa mwezi endapo atatia saini.

1744531007630.png
Yanga wanaonekana kuwa makini kwenye dili hilo, huku wakitumia nafasi ya mauzo ya nyota wao Stephane Aziz Ki kama chanzo cha kujiamini kifedha katika vita hiyo ya usajili. Mauzo hayo yanatazamiwa kuwaingizia mabilioni ya shilingi, jambo linalowawezesha kusukuma ofa nzito kwa wachezaji muhimu.

Kwa upande wa wapinzani wao Simba SC, taarifa zinasema ofa yao ya mwisho kwa Fei Toto ilikuwa shilingi milioni 600 kama sign-on fee, ambapo wamepanga kulipa shilingi milioni 400 msimu wa kwanza na milioni 200 katika msimu wa pili.

Mpambano wa kuwania saini ya Fei Toto unaonekana kuwa mzito, huku Yanga wakionekana kutaka kufunga dili hilo haraka ili kumrudisha kiungo wao wa zamani kambini.
 
Imefichuka kuwa klabu ya Yanga imemwaga dau nono ili kumshawishi kiungo mahiri Feisal Salum "Fei Toto" kurejea Jangwani. Kwa mujibu wa taarifa, Yanga wameweka mezani ofa ya shilingi milioni 750 kama sign-on fee pamoja na mkataba wa miaka miwili. Aidha, kiungo huyo ameahidiwa mshahara wa shilingi milioni 40 kwa mwezi endapo atatia saini.

Yanga wanaonekana kuwa makini kwenye dili hilo, huku wakitumia nafasi ya mauzo ya nyota wao Stephane Aziz Ki kama chanzo cha kujiamini kifedha katika vita hiyo ya usajili. Mauzo hayo yanatazamiwa kuwaingizia mabilioni ya shilingi, jambo linalowawezesha kusukuma ofa nzito kwa wachezaji muhimu.

Kwa upande wa wapinzani wao Simba SC, taarifa zinasema ofa yao ya mwisho kwa Fei Toto ilikuwa shilingi milioni 600 kama sign-on fee, ambapo wamepanga kulipa shilingi milioni 400 msimu wa kwanza na milioni 200 katika msimu wa pili.

Mpambano wa kuwania saini ya Fei Toto unaonekana kuwa mzito, huku Yanga wakionekana kutaka kufunga dili hilo haraka ili kumrudisha kiungo wao wa zamani kambini.
Huyu mtoto atakuwa mjinga sana kama atakubali kurudi timu ambayo mpaka ilibidi rais aingilie kati.
Timu ilimtukana mpaka mama yake
 
Yanga washawalipa As vita, Kama mwuzaji ni Azam anaweza asiangalie day Bali wapi wanataka aende
 
Imefichuka kuwa klabu ya Yanga imemwaga dau nono ili kumshawishi kiungo mahiri Feisal Salum "Fei Toto" kurejea Jangwani. Kwa mujibu wa taarifa, Yanga wameweka mezani ofa ya shilingi milioni 750 kama sign-on fee pamoja na mkataba wa miaka miwili. Aidha, kiungo huyo ameahidiwa mshahara wa shilingi milioni 40 kwa mwezi endapo atatia saini.

Yanga wanaonekana kuwa makini kwenye dili hilo, huku wakitumia nafasi ya mauzo ya nyota wao Stephane Aziz Ki kama chanzo cha kujiamini kifedha katika vita hiyo ya usajili. Mauzo hayo yanatazamiwa kuwaingizia mabilioni ya shilingi, jambo linalowawezesha kusukuma ofa nzito kwa wachezaji muhimu.

Kwa upande wa wapinzani wao Simba SC, taarifa zinasema ofa yao ya mwisho kwa Fei Toto ilikuwa shilingi milioni 600 kama sign-on fee, ambapo wamepanga kulipa shilingi milioni 400 msimu wa kwanza na milioni 200 katika msimu wa pili.

Mpambano wa kuwania saini ya Fei Toto unaonekana kuwa mzito, huku Yanga wakionekana kutaka kufunga dili hilo haraka ili kumrudisha kiungo wao wa zamani kambini.
Waachane nae wakizunguka tu nje yaa Tz kwa mil 400,wanapata namba kumi mzuri na mshahara wake unaweza ukakuta hauzidi 20mil.
 
Fei ana utoto mwingi,alipoondoka iliimarika na kucheza mchezo mkubwa,aende tu simtaki.
 
Imefichuka kuwa klabu ya Yanga imemwaga dau nono ili kumshawishi kiungo mahiri Feisal Salum "Fei Toto" kurejea Jangwani. Kwa mujibu wa taarifa, Yanga wameweka mezani ofa ya shilingi milioni 750 kama sign-on fee pamoja na mkataba wa miaka miwili. Aidha, kiungo huyo ameahidiwa mshahara wa shilingi milioni 40 kwa mwezi endapo atatia saini.

Yanga wanaonekana kuwa makini kwenye dili hilo, huku wakitumia nafasi ya mauzo ya nyota wao Stephane Aziz Ki kama chanzo cha kujiamini kifedha katika vita hiyo ya usajili. Mauzo hayo yanatazamiwa kuwaingizia mabilioni ya shilingi, jambo linalowawezesha kusukuma ofa nzito kwa wachezaji muhimu.

Kwa upande wa wapinzani wao Simba SC, taarifa zinasema ofa yao ya mwisho kwa Fei Toto ilikuwa shilingi milioni 600 kama sign-on fee, ambapo wamepanga kulipa shilingi milioni 400 msimu wa kwanza na milioni 200 katika msimu wa pili.

Mpambano wa kuwania saini ya Fei Toto unaonekana kuwa mzito, huku Yanga wakionekana kutaka kufunga dili hilo haraka ili kumrudisha kiungo wao wa zamani kambini.
Nilichojifunza:
1. Mpira si UADUI, mchezaji akitaka kwenda aachiwe ili mradi matakwa ya mkataba yafuatwe.
2. Shabiki asiumie sana kiasi cha kumtukana au kumkashifu mchezaji kwa sababu mchezaji anaweza kurudi klabuni wakati mwingine.
3. Mchezaji asimalize maneno / kukashifu timu aliyopitia kwa sababu maisha ya mpira ni mafupi (e.g kustaafu ni 35-38 au 40) na anaweza kupata matamanio ya kurudi klabuni hapo siku zijazo.
 
Kuliko kuhangaika na Fei na Dau lote Hilo Bora kuingia sokoni na kutafuta mchezaji kariba yake aje kuongeza kitu kipya kwenye team
Popote Fei alipo bado team itashinda na kuchukua ubingwa wa 5
 
Hamna kitu hapo.. eti chanzo cha pesa za kumnunua ni mauzo ya Aziz Ki .. ambaye thamani ss hivi imeshuka sana.
 
Back
Top Bottom