Yanga wawe na huruma waisadie Simba

Yanga wawe na huruma waisadie Simba

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,808
Reaction score
24,449
Nadhani mwaka 1988 Simba ilikaribia kushuka daraja ndipo Yanga ya wakati huo ikafanya huruma ya kuachia kombe lichukuliwe na Coastal Union kusudi Simba isishuke daraja. Nawaomba Yanga mwaka kesho wafanye huruma kama hiyo waruhusu angalau Simba ipate kitu cha kuweka kabatini: wawaachie ngao ya jamii.
 
Halafu Ali Kamwe pia awahurumie asiwapandishe presha na mabango zaidi. Hili linatosha.

1751263071559.png
 
Hivi kweli msimu ujao Ngao ya Jamii Yanga atacheza na mai wake yupi?
 
Wataanzia nusu fainali. Yanga ataanza na Azam halafu 5imba na Zingida BS. Zaza kwa moto wa zingida huyu Zimba ataweza tamba kweli, au atajivunja azifike final

Sasa hivi Simba ni mai wa Singida pia !!
 
Back
Top Bottom