Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
Baada ya kudengua kupokea mkwanja toka azam tv na tff kuwakaushia,hatimaye katibu wa yanga mwalusako ameenda bodi ya ligi kuomba hela ya udhamini. Bodi ya ligi imewaambia waandike barua ili wapewe hizo hela.