luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,328
- 6,877
yaani kwa upande wangu habari naona imenilewesha asubuhi yote hii na imenivurugaHivi mmesoma habari na kuielewa?
Press za makolo zinafanyika msimbazi?Mleta UZI jana ulishindia chai na pilipili ?
Yanga uongozi unao maliza muda umepoteana tayar...kitendo cha M/kiti kutokumuunga mkono Mwenyekiti wake ni dhahiri wa shahiri hamna kitu....
Sasa iv kila maamuzi ga Uto pamoja na press zinafanyikia Slamanda tower , pale mitaa ya twiga pamedoda
Haji kawashika pabaya makoloKipaimbele cha Kwanza ni Haji, cha pili Haji cha tatu Haji,
Timu ya hovyo Sana hii
Duu wanjenge kwenye Yale madimbwiUsijali team ianendeshwa kisasa mno ile siyo chuplichupli za Mo, pia ukarabati wa vyumba ulifanyika hadi fridge ziliwekwa
Hao makolo wapo msimbazi ipi ? Polisi au fire ? ....Press za makolo zinafanyika msimbazi?
So baada ya fcc kupitisha mabadiliko makolo hawana ofisi wala makao makuu ya klabu?halafu unataka kusema pale msimbazi pameanza kupangishwa baada ya hayo mabadiliko?kolo's akili zenu zimeshikwa na mo na babraHao makolo wapo msimbazi ipi ? Polisi au fire ? ....
Usichokijua ni kuwa simba tayari FCC wamepitisha mabadiliko, tayari so majengo yote ya simba pale.Kkoo yamekodishwa ..ndio maana sasa iv pale umeona ile floor ya juu kapanga mfanya biashara wa kuuza nguo bwan sunderland theonly one .... Simba ina bodi yanga ina bodi ?
Zaman pale mjengoni, floor ya juu ndio ilikuwa inatumika na club, chin kulikuwa na wapangaji... Now si ni jengo lote lima wapangaji ...So baada ya fcc kupitisha mabadiliko makolo hawana ofisi wala makao makuu ya klabu?halafu unataka kusema pale msimbazi pameanza kupangishwa baada ya hayo mabadiliko?kolo's akili zenu zimeshikwa na mo na babra
Wewe mama mimi nimezaliwa sikukuu na kiungani,k'koo naijua vizuri sana,acha ufalaZaman pale mjengoni, floor ya juu ndio ilikuwa inatumika na club, chin kulikuwa na wapangaji... Now si ni jengo lote lima wapangaji ...
Alafu usikute unabishana kuhusu Dsm,Kkoo kumbe ww upo kazuramimba kigoma ila unajenga picha tu ya Kkoo ...embu kunywa chai na migebuka ..wacha mm nipande mwendokasi
😂😂😂😂 Mama yako na yy anatumia JF 🤣🤣🤣🤣 ww tulia hapo kazuramimba uvunage mawese tu mambo ya kujifanya unajua kkoo kwa picha uachageWewe mama mimi nimezaliwa sikukuu na kiungani,k'koo naijua vizuri sana,acha ufala
Unatoka nje ya mada,halafu sidhani hata kama k'koo yenyewe unaijua,utakua mshamba flan na ndio maana hata kupanda mwendokasi unaona ujanja,we kweli kolo pro max,unadai Yanga aifanyi press jangwani nakuuliza makolo mnafanyia msimbazi badala ya kujibu unadai unapanda mwendokasi!😂😂😂😂 Mama yako na yy anatumia JF 🤣🤣🤣🤣 ww tulia hapo kazuramimba uvunage mawese tu mambo ya kujifanya unajua kkoo kwa picha uachage
Tangu 2020 mpaka leo uwanja wa kaunda bado wanasawazisha kifusi tu!!!!???Mkiambiwa simba wakajifunze jinsi ya kuendesha team kisasa toka kwa yanga mnabenua midomo kama watoto wa kike, tulieni dawa iwaingie makolo mtaisoma namba tu hata kimyakimya
YANGA ni kama wanamletea ubishi mwekezaji wa Simba, bilionea, Mohamed Dewji ‘Mo’, hiyo ni baada ya kutangaza miezi minne sawa na siku 120 za kukamilisha ujenzi wa Uwanja wa Kaunda uliopo kwenye makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Jangwani, Dar.
Hatua hiyo imekuja siku chache tangu Mo atembelee Uwanja wa Bunju unaomilikiwa na Simba ambao upo kwenye hatua za mwisho za kukamilika hasa ule wa mazoezi upande wa nyasi bandia. Mara baada ya Mo kutembelea uwanja huo aliahidi kumalizika kwa uwanja huo hivi karibuni kutokana na nyasi bandia kutua nchini na kupelekwa uwanjani hapo tayari kwa kuwekwa.
Akizungumza na Championi Ijumaa, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela alisema kuwa hadi kufikia Februari 2020 ukarabati wa uwanja huo utakuwa umekamilika.
Mwakalebela alisema kuwa uwanja wamepanga kuutumia kwa ajili ya mazoezi, pia kambi ya pamoja ya kikosi chao katika kujiandaa na michezo ya Ligi Kuu Bara na kimataifa.
Aliongeza kuwa hivi karibuni wanatarajia kuanza ukarabati wa jengo lao hilo zikiwemo hosteli za wachezaji zitakazotumika mara baada ya timu hiyo kuingia kambini na tayari Kampuni ya GSM ambao ndiyo waliojitolea ukarabati wa jingo, wameanza taratibu za awali.
“Zoezi lililopo hivi sasa katika ukarabati wa uwanja wetu wa Kaunda ni kujaza kifusi limekamilika ambalo limekamilika, kazi inayofanyika sasa ni usambazaji wa kifusi hicho tayari.
“Tayari yapo magreda mawili yanaendelea na kazi hiyo ya kusambaza na kusawazisha vifusi na baada ya kusawazisha udongo huo, zoezi litakalofuata ni kuweka udongo mwingine ambao ni wa rutuba kisha upandaji wa nyasi utafuatia.
“Kikubwa tunataka kabla ya mzunguko wa pili wa ligi kuanza tuwe tayari tumeanza kuutumia uwanja wetu, pamoja na kambi ya hapo kwenye hosteli zetu chini ya udhamini wa GSM waliochukua jukumu la kuukarabati uwanja huo,” alisema Mwakalebela.
Yanga hivi sasa inafanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi, Kurasini jijini Dar es Salaam huku ikiweka kambi yake Nafeland Hotel, Magomeni Kagera, Dar.
Kuijua K/Koo nako ni ujanja kumbe!? Mnaizungumzia K/koo ipi kwanza, hiihii yenye majengo chakavu na harufu kali ya mavi?Mama yako na yy anatumia JFww tulia hapo kazuramimba uvunage mawese tu mambo ya kujifanya unajua kkoo kwa picha uachage
Hahaha kupanda mwendokasi una saidia ku adjust budgetUnatoka nje ya mada,halafu sidhani hata kama k'koo yenyewe unaijua,utakua mshamba flan na ndio maana hata kupanda mwendokasi unaona ujanja,we kweli kolo pro max,unadai Yanga aifanyi press jangwani nakuuliza makolo mnafanyia msimbazi badala ya kujibu unadai unapanda mwendokasi!
Tulia dogo acha kudandia treni la mwendokasi uta haribu uhai wako ....Kuijua K/Koo nako ni ujanja kumbe!? Mnaizungumzia K/koo ipi kwanza, hiihii yenye majengo chakavu na harufu kali ya mavi?
Usijali team ianendeshwa kisasa mno ile siyo chuplichupli za Mo, pia ukarabati wa vyumba ulifanyika hadi fridge ziliwekwa