Yanga wafungwa 7-1 Uturuki

Yanga wafungwa 7-1 Uturuki

Status
Not open for further replies.
Timu ya soka ya Simba ya Dar es salaam,jana ilifungwa mabao 3-1 na timu ya soka ya Zimakipisi ya Manzese katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa magunia ulioko Manzese midizini.
 
Ni kweli hata mimi nimesikia gaol la Yanga tena kafunga Niyonzima...duuh hii Yanga utafikiri Man six
 
yanga msitoke Povu ni kweli mchezaji mwenyewe kanidhihirishia Niyonzima ndo alifunga la kufutia machozi. Simtaji mchezaji mnajua vilabu vyetu ni vya kuoshea macho. muulizeni Kizuguto wenu kama hajakunja ngumi. aibu yenu na kocha wenu kibabu kipofu hakina hata neno. Ptyuuuu.
 
Akili za fisi si zinajulikana lakini? Tusimbishie
 
Last edited by a moderator:
Umbeya maana yake ni hali ya kusikiliza maneno na kuyapeleka huko na huko.

Kwa hiyo jamaa kama ni mmbeya..basi habari za kufungwa ya 7-1 ni za kweli.

ulikuwepo? unaongea pumba tu hapa huyo mchezaji alietoa hizo taarifa ni nani nyie wanafiki
 
kuna wakati Timu ya Wanawake Ilifungwa Bao 16 Ethiopia wakasema wadanganye wamefungwa 8
 
hizi habari huenda ni utani tu wa Simba na Yanga, nilizisikia hata mm wengine wanasema 7-0, wengine wanasema ni safari ile ya kwanza wengine ni safari hii, nadhani ni uzushi tu
 
Sio nyingi sana. Timu zinafungwa mpaka hili goli 12 sembuse hizo 7! Ila ukijumlisha na zile za simba zinafika 12.....hahahaaaaaaa
 
Jamani moja ya sababu taifa letu kutokupiga hatua ni uwongo na ujuaji acheni sio lazima uonekane umeanzisha thread na wewe dunia sasa Ni kijiji hebu tazameni hapahttp://sportekspres.com/?p=18200
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom