tunahamia dodoma
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 119
- 81
Timu ya Yanga sc wameanzisha mgomo wa kutoshinda hadi Serikali itakopofuta kesi inayomkabili kiongozi wao mkuu bwana Yusufu manji ya utumiaji wa mapoudaaaaa.
Hi kwa mujibu wa msemaji mkuu wa timu hiyo ambae amwasisiza kuwa kikomo cha mgomo huo ni pale tu Serikali itakapofuta kesi dhidi ya kiongozi wao huyo.
Na kwa kauli moja amesema wanaungana na mwana mitindo wema sepeti ili kuikomoa serikali na chama tawala hadi hapo serimali itaposikiliza kilio chao.
Hi kwa mujibu wa msemaji mkuu wa timu hiyo ambae amwasisiza kuwa kikomo cha mgomo huo ni pale tu Serikali itakapofuta kesi dhidi ya kiongozi wao huyo.
Na kwa kauli moja amesema wanaungana na mwana mitindo wema sepeti ili kuikomoa serikali na chama tawala hadi hapo serimali itaposikiliza kilio chao.