Naelekea uwanja mkuu mpya wa Taifa kuangalia mtanange kati ya Simba na Yanga. Kwa kupitia kilonga mbali changu nitakuwa nawaletea live updates ikiwa kila kitu kitaenda sawa ( ie masuala ya credit )
Leo ndio leo kandambili hawatoki iwe isiwe lazima tuwafunge, Mnyama kanyaga twende! eeeh kidedea!
Stay tuned
Yegho Masatu,
Akikisha unaturushia updates, mzee. Huku si unajua tuko dunia nyingine. Ila usiingie mtini kama Mnyama akisasambuliwa teh teh teh
Shadow!
Masatu,
Usifunge simu Mnyama akikabwa koo, maana leo hatoki milango inafungwa kama yaliyofanyika Kirumba.
Naelekea uwanja mkuu mpya wa Taifa kuangalia mtanange kati ya Simba na Yanga. Kwa kupitia kilonga mbali changu nitakuwa nawaletea live updates ikiwa kila kitu kitaenda sawa ( ie masuala ya credit )
Leo ndio leo kandambili hawatoki iwe isiwe lazima tuwafunge, Mnyama kanyaga twende! eeeh kidedea!
Stay tuned
Dakika ya 25 sasa hivi kipindi cha kwanza , simba ndio wanaonyesha kandanda safi wameshakosa magori 2 mpaka sasa hivi ya wazi ,
Ndg yetu Masatu amegeuka bubu ghafla?
Sorry Pal, Alikuwa mchezaji wa Simba msuimu uliopita, ni mchezaji wa Yanga sasa.megapyne,mussa hassan sasa ni mchezaji wa timu gani? kumbuka you have a worldwide audience ambayo haiwajui hao wachezaji