CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Ni saa 10.00 taifa.
Leo tunamvua rasmi Simba ubingwa!
Sasa kila mechi tutakayokua tunashinda ya ligi kuu kila mchezaji atalamba 70,000 cash.
Pia mabilionea Abdallah Binkleb na Seif Ahmed Magari wameahidi kutoa 5m-10m kwa kila mechi Yanga watakayoshinda.
Pia kuanzia mechi ijayo magori yatakua biashara nzuri kwa wachezaji,kila gori kununuliwa kwa bei mbaya!
Nia ni kushinda mechi tatu mfululizo ili kutangaza ubingwa mapema.
Mechi hizo ni Dhidi ya(Oljoro JKT,mgambo JKT,ruvu JKT)
Leo tunamvua rasmi Simba ubingwa!
Sasa kila mechi tutakayokua tunashinda ya ligi kuu kila mchezaji atalamba 70,000 cash.
Pia mabilionea Abdallah Binkleb na Seif Ahmed Magari wameahidi kutoa 5m-10m kwa kila mechi Yanga watakayoshinda.
Pia kuanzia mechi ijayo magori yatakua biashara nzuri kwa wachezaji,kila gori kununuliwa kwa bei mbaya!
Nia ni kushinda mechi tatu mfululizo ili kutangaza ubingwa mapema.
Mechi hizo ni Dhidi ya(Oljoro JKT,mgambo JKT,ruvu JKT)