Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,607
- 40,749
hii shangilia ya yanga mboni hatari ndio nini kubinua mikalio yao..
wanatakaa
hii shangilia ya yanga mboni hatari ndio nini kubinua mikalio yao..
Shughuli inaendelea,nilitaka niuache huu uzi lkn Nizar amenirudisha Yanga 2 African Lyon 1
hii gemu kuna droo..
Prove hii draw.
Unazungumzia kadi nyekundu ya okwi na maftah au?!Naona Watani zetu wameanza kununua hadi marefa wanaochezesha game zetu
Dakika ya ngapi wakuu
Nazungumzia zile offsides zisizokuwa na vichwa wala miguu zilizokuwa zinamwagwa leo.