Hawa African Lyon nao vipi, mbona wamezidiwa sana na hawa watengeneza nywele.
Wakiwa kwenye kambi utamsikia Mbuyu Twite anamwambia Bahanuzi, "wewe Said mitindo yako ya manywele iko bye sana, kwa nini hakunaga kuongeza marangi ili iwe bye zaidi, ona mimi iko tengeneza manywele kama ya kuku ile jogoo". ndo maana yule kocha wa vikuku alikuwa hataki kambi wanamuiga yeye wakati yeye sio mchezaji.Hahahahahahaaaaaa! A.k.a warembo full mapouder
Wakiwa kwenye kambi utamsikia Mbuyu Twite anamwambia Bahanuzi, "wewe Said mitindo yako ya manywele iko bye sana, kwa nini hakunaga kuongeza marangi ili iwe bye zaidi, ona mimi iko tengeneza manywele kama ya kuku ile jogoo". ndo maana yule kocha wa vikuku alikuwa hataki kambi wanamuiga yeye wakati yeye sio mchezaji.
Wakiwa kwenye kambi utamsikia Mbuyu Twite anamwambia Bahanuzi, "wewe Said mitindo yako ya manywele iko bye sana, kwa nini hakunaga kuongeza marangi ili iwe bye zaidi, ona mimi iko tengeneza manywele kama ya kuku ile jogoo". ndo maana yule kocha wa vikuku alikuwa hataki kambi wanamuiga yeye wakati yeye sio mchezaji.
Si tunahamu ya magoli mengi hawa kina Twite wana pakapaka rangi