Yanga tuna la kujivunza kutokana na mafanikio ya timu ya Simba

Mimi kama shabiki na mwanachama wa simba. Nimefarijika sana kuona timu yangu ya simba imepiga hatua kubwa kiasi hiki. Mafanikio haya hayakuja kama mwujiza. Bali ni uwekezaji mkubwa. Pamoja na mshikamano tulionao wana simba na mashabiki wetu kutupa sapoti kubwa nchini hapa. Hongera sana na mwakani tutazidi kufanya makubwa maana tumeona mapungufu mengi kwenye kikosi chetu.
 
Manji alizungukwa na wajanja wengi mno,simba mtu wa kumshukuru sana ni try again huyu kwangu namuona ndio km shabiki namba 1 wa simba kwa kuweza kusimamia mabadiliko ya simba pasipo kuweka maslahi yake binafsi tena kwa kipindi kifupi mno alichoiongoza simba,Yanga tuna kila sababu kipindi hiki kumpata kiongozi mwenye mapenzi ya dhati kututoa hapa tulipo,bila hivyo itatuchukua muda sana
Kilichonishangaza hakugombea uongozi akaacha wengine wagombee
 
Simba inalasirimali watu!
Screenshot_20190317-155345.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakuja na uzi wakukuonyesha yanga inavyohujumiwa na hao unao waabudu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wengi awaamini lkn ilipo Yanga haipo pale kwa bahati mbaya,kuna watu wameifikisha pale,na tena ashukuriwe mwinyi zahera kwa uhamasishaji wake,lkn bila hivyo watesi wa Yanga walitaka iwe chini zaidi ya ilipo sasa,wachache sana ndio watakaokuelewa
 
Aisee nikweli nilishabikia As vita na hata akija nani Mimi siwezi shabikia Simba. Lakini kwa yanayoendelea kwa wenzetu natamani na sisi tufikie hatua ya kushare hisa ili tuwe watani kiukweli kweli lakini saizi mtani anatutesa balaa, kila tukiombea mabaya anatusua tu dah!!

Barafu la moto
kaka utani wetu wajadi uwe ndani ya ligi ya nchi. Lakini linapokuja swala la kimataifa tuwe wamoja. Kwa hatua simba ilyofika heshima ni yanchi kaka. Hata mimi yanga walipokua wanaiwakilisha nchi kimataifa niliwashabikia na siku furai walipovurunda uo ndio uzalendo kaka. Pia hata mimi napenda nione nchi ina vilabu vyenye nguvu africa. Tunashindwa na kongo? Kila mwaka wana timu 2 champions ligi wakati sisi tuko kwenye nchi yenye amani lakini tunashindwa kuwa na mipango mizuri kwenye timu zetu. Ifikie maali yanga. Simba. Azam wawe icon africa naiyo itawezekana kwa kuweka mikakati mizuri kwenye vilabu vyetu.
 
Mkuu nakupongeza kwa Uzi murua wa kimichezo, naamini Yanga na Simba zikiamua zinaweza kujigeuza na kuwa timu kubwa na bora kama zilivyo nyingine Duniani
Ushindi wa mabao 2-1 walioupata Simba jana dhidi ya Vita Club umewapeleka robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika
Hakika wanastahili pongezi kwa mafanikio hayo

Watani zetu wametufundisha jambo kubwa sana, ili kuweza kufanikiwa tunahitaji uwekezaji wa fedha, akili, muda, hali na mali pasipo kukata tamaa

Kama Simba wangekata tamaa baada ya kupigwa zile dozi za tano tano sidhani kama wangekuwa na ubavu wa kushinda michezo yao miwili waliocheza nyumbani dhidi ya vigogo wa soka Barani Afrika

Lakini pia nyuma ya mafanikio hayo yupo mwekezaji wao Mohammed Dewji 'Mo' ambaye alimwaga fedha za kutosha kutengeneza kikosi ambacho leo kimewafanya waweze kutembea kifua mbele

Simba ndio klabu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kutinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo ya ligi ya mabingwa

Wana Yanga yatupasa kupambana juu chini kuhakikisha nasi tunafanya mabadiliko katika timu yetu ili tuweze kuwavutia wawekezaji walete fedha

Mpango huu wa kuchangia uliopendekezwa na kocha Mwinyi Zahera sio wa kudumu, utaisaidia Yanga kusimama wakati ikijiweka sawa

Mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji ndio kila kitu, kwani mabadiliko waliyofanya Simba tumeona jinsi yalivyokuwa na faida kwao

Uwekezaji aliouweka Mo katika kipindi cha misimu miwili kwenye klabu ya Simba umekuwa na faida kubwa kwake na kwa Simba pia

Kwa kutinga hatua ya robo fainali tu Simba itavuna zaidi ya Bil 1.5 fedha ambazo ni zaidi ya fedha walizotumia kukijenga kikosi chao(bil 1.3)

Ukiongeza na fedha walizovuna kupitia mashabiki ambao waliujaza uwanja wa Taifa katika michezo yote mitatu waliocheza jijini Dar es salaam pamoja na mauzo ya jezi, timu hiyo itakuwa imetengeneza fedha nyingi sana

Simba wametuonyesha kumbe haya yote yanawezekana, ukijipanga vizuri na ukafanya uhamasishaji wa kutosha unaweza kufanya mambo makubwa kuliko wengi tulivyokariri

Nani alitegemea kama Simba itaweza kuifunga Al Ahly, mabingwa mara nane barani Afrika? Al Ahly ambayo ilicheza fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika msimu uliopita

Nani alidhani kama Simba itapata ushindi dhidi ya Vita jana? Hawa Vita walicheza fainali ya kombe la shirikisho msimu uliopita

Simba haikupewa nafasi ya kupenya katika kundi D lililozijumuisha JS Saoura, Al Ahly na Vita lakini wamepita

Hivi kuna atakayeshangaa tena kama Simba itatwaa ubingwa wa Afrika? kwani hatua waliyofikia lolote linaweza kutokea.

Jambo la muhimu kwa Wana Yanga ni kupata somo kutokana na mafanikio haya. Kama hatua hazitachukuliwa, Yanga haiwezi kushindana na Simba katika nyanja zote.

Ni wazi msimu ujao huenda ukawa mgumu zaidi kupambana na Simba kwani watakuwa bora mara dufu kuliko walivyo sasa.

Sababu mpaka hapa walipofikia wameyajua mapungufu yao na tayari wanao ushawishi wa kumsajili mchezaji yeyote wanayemtaka kutokana uwepo wa fedha na mafanikio waliyopata

Itakuwa muujiza kwa Yanga yetu hii kushindani na wenzetu ambao kimsingi mpaka sasa wameshatuacha mbali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia ondoeni U- CCM pale klabuni kwenu. Manji, Kapuya,Ndugai,Makamba,Rage na wengineo wengi tu ni CCM, lakini huoni wakileta uchama wao Simba.

Nyie watu kama kina Mbowe mnawatenga kwa kuwa tu ni toka vyama vingine vya siasa mbali ya CCM.
Mkuu maendeleo ya mchezo wa soka hayana vyama.
Kila mmoja afanye siasa zake, lakini tukikutana kwenye ushabiki wa soka tuzungumze lugha moja
 
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mkimind narudia
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mkimind narudia
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaa
Simbaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaa
Simbaaaa
Simbaaa
Simbaa
Simba
Simbaa
Simbaaaa
Simbaaaaaa
Simbaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mkimind narudia
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu maendeleo ya mchezo wa soka hayana vyama.
Kila mmoja afanye siasa zake tukikutana kwenye ushabiki wa soka tuzungumze lugha moja.
Umesoma nilichoandika? Pale Makao Makuu ya Yanga mpaka leo kuna mabango ya Magufuli anagombea Urais, sasa shabiki wa Yanga ambaye ni mwanachadema anajisikiaje?
 
simba wameshinda kwa fitina ya kupuliza hewa ya sumu kwa wachezaji wa vita ili wakose nguvu na CAF wamejua jiandaen kufungiwa milele
Mkuu uliangalia mechi lakini?
Hata kama unafanya fitina,kiwango kionekane,kocha wao anakiri kabisa Simba walicheza kwa kiwango cha juu na walistahili kupata matokeo hayo harafu wewe unaleta ngonjera.Waarabu ndiyo viongozi wa fitna lakini na soka wanacheza.Mpira hauchezwi mdomoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakuja na uzi wakukuonyesha yanga inavyohujumiwa na hao unao waabudu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli hata mchezo wenu na Lipuli mchezaji aliyefunga goli la ushindi ni mchezaji wa zamani wa Simba, Kocha wao ni S.Matola ni mwanachama wa Simba.
Hizi njama hizi. Simba pia jana waliwasaidia Lipuli kupulizia dawa kwenye vyumba vya kubadilishia. Sijui nani aliwadanganya Vyura waingie vyumbani kwani huwa wanagoma.
Labda njama za TFF kuwalazimisha ama sivyo wanawapiga faini.
Refa wa Lipuli na Vyura jana kachezesha dakika 100 ili Lipuli wafunge goli la pili lakini njama hizo zikashindana. Lipuli wakashinda kwa goli 1.
Ujinga ni maradhi. Pukachaka.
 
Aisee nikweli nilishabikia As vita na hata akija nani Mimi siwezi shabikia Simba. Lakini kwa yanayoendelea kwa wenzetu natamani na sisi tufikie hatua ya kushare hisa ili tuwe watani kiukweli kweli lakini saizi mtani anatutesa balaa, kila tukiombea mabaya anatusua tu dah!!

Barafu la moto
Kumbuka Simba ikifika nusu fainali,itawezesha timu nne za Tanzania kushiriki mashindano ya CAF,kwa chagueni tu kuwa wazalendo no way out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kaka utani wetu wajadi uwe ndani ya ligi ya nchi. Lakini linapokuja swala la kimataifa tuwe wamoja. Kwa hatua simba ilyofika heshima ni yanchi kaka. Hata mimi yanga walipokua wanaiwakilisha nchi kimataifa niliwashabikia na siku furai walipovurunda uo ndio uzalendo kaka. Pia hata mimi napenda nione nchi ina vilabu vyenye nguvu africa. Tunashindwa na kongo? Kila mwaka wana timu 2 champions ligi wakati sisi tuko kwenye nchi yenye amani lakini tunashindwa kuwa na mipango mizuri kwenye timu zetu. Ifikie maali yanga. Simba. Azam wawe icon africa naiyo itawezekana kwa kuweka mikakati mizuri kwenye vilabu vyetu.
Na kwa Congo TP MAZEMBE ndio imeibeba sana Vita kuingia kupitia mgongo wake, na walipopata fursa nao Vita wakaitumia mpaka sasa nao ni wakubwa. Nasi tufanye hivyo. Simba yamga azam. Upinzani unakuwepo ligi ya ndani, ndio ilivyo kwa alina vita na mazembe.
 
Back
Top Bottom