MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tukiwa tunawaambieni kuwa tumieni Akili zenu vizuri katika kufanya (kutenda) mambo muwe mnatuelewa ila bahati mbaya mkisemwa (mkisilibwa ) kwa Upuuzi wenu huwa mnanuna (mnatununia) hapa. Hivi kweli kwa Ukubwa na Ukongwe wa Klabu ya Yanga leo hii ilikuwa ni ya Kuita Waandishi wa Habari na Kuwaonyesha Chumba cha Mfano cha Wachezaji wake?
Kama Yanga SC leo hii inatuonyesha Chumba Mfano kwa Wachezaji wake je, Klabu kama Ihefu na nyinginezo Changa zenyewe zituonyeshe nini? Na nilishangaa mno katika Aibu hii na Ushamba huu Kumuona Msomi mzima na Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msola akizindua hiko (hicho) Chumba mfano.
Kwa nijuavyo na kwa Ukubwa wa Yanga SC nilitegemea jana kuona wanazindua ama Jengo lao Kubwa au wanasema kuwa wanakuja na Ujenzi mkubwa wa Jengo la Klabu yao pale Jangwani lakini imekuwa ni Kinyume. Na hata hicho Chumba mfano chenyewe kilichozinduliwa jana kinatizama nje ambako kuna harufu mbaya ya Hewa na Kimazingira na Mafuriko yote yakija yanakuwa Kivutio cha Utalii kwa Wachezaji akina Sarpong na Fiston wakiwa wamelalia Magodoro membamba ya GSM.
Na Mimi All - Rounder nitakuwa nawasiliba (nawasema) hadi mbadilike na mkipatia pia nitakuwa nawapamba hapa JF vile vile tu. Mnivumilie tu.
Kama Yanga SC leo hii inatuonyesha Chumba Mfano kwa Wachezaji wake je, Klabu kama Ihefu na nyinginezo Changa zenyewe zituonyeshe nini? Na nilishangaa mno katika Aibu hii na Ushamba huu Kumuona Msomi mzima na Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msola akizindua hiko (hicho) Chumba mfano.
Kwa nijuavyo na kwa Ukubwa wa Yanga SC nilitegemea jana kuona wanazindua ama Jengo lao Kubwa au wanasema kuwa wanakuja na Ujenzi mkubwa wa Jengo la Klabu yao pale Jangwani lakini imekuwa ni Kinyume. Na hata hicho Chumba mfano chenyewe kilichozinduliwa jana kinatizama nje ambako kuna harufu mbaya ya Hewa na Kimazingira na Mafuriko yote yakija yanakuwa Kivutio cha Utalii kwa Wachezaji akina Sarpong na Fiston wakiwa wamelalia Magodoro membamba ya GSM.
Na Mimi All - Rounder nitakuwa nawasiliba (nawasema) hadi mbadilike na mkipatia pia nitakuwa nawapamba hapa JF vile vile tu. Mnivumilie tu.