Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Hahahaa, tutaona nani atapapaswa na kupa***ktw* siku hiyo....hujaijua historia ya Lunyasi, Wekundu wa MsimbaziNdio mp*katw*. 🙈🙈🙈
Nakualika uje tupinge
Hahahaa, tutaona nani atapapaswa na kupa***ktw* siku hiyo....hujaijua historia ya Lunyasi, Wekundu wa MsimbaziNdio mp*katw*. 🙈🙈🙈
Mtembee kifua mbele kwa kuwafunga Ruvu tena kwa kubebwa na mbeleko ya chuma!?haya maneno yalianza kabla ya Ligi kuanza mkawa mnasema hatoshinda mechi hata moja sasa mnajisahaurisha simba bwanaaaaaaa (msisijisahurishe kauli zenu za mwanzo ndo zinawashitaki na kuwaponza ) hivyo YANGA lazima tutembee kifua mbele dhidi ya kikosi chenu cha Mamilioni
Nimesema kama Yanga anabebwa Simba ombeni Mpakatwe ili mshinde mechi zenu na Nkana pia hahahaaa Simba hamkosi maneno hv wachezaji wenu wamerudi au ndo wanapapaswa na NkanaMtembee kifua mbele kwa kuwafunga Ruvu tena kwa kubebwa na mbeleko ya chuma!?
Nitakuwepo uwanjani mkuu nitashuhudia Nkana anawapiga mtatoka vichwa chiniHahahaa, tutaona nani atapapaswa na kupa***ktw* siku hiyo....hujaijua historia ya Lunyasi, Wekundu wa Msimbazi
Nakualika uje tupinge
Kipindi si kirefu kijacho mtakua kiiimya kabisaNimesema kama Yanga anabebwa Simba ombeni Mpakatwe ili mshinde mechi zenu na Nkana pia hahahaaa Simba hamkosi maneno hv wachezaji wenu wamerudi au ndo wanapapaswa na Nkana
Miaka yote Nkana hajawahi kuifunga Simba Taifa pamoja na kupata washangiliaji wa kujitoleaNitakuwepo uwanjani mkuu nitashuhudia Nkana anawapiga mtatoka vichwa chini
Ndio miziki ilivyoWameachana na wimbo wa "yanga wana bahati" wamekuja na "yanga wanabebwa"
Mikia watatunga nyimbo zote msimu huu.
Mikia inabwabwaja inadai penalt huku mtaaniHeritier makambo "makambovic" siku zote uwa anafunga magoli ya kuwakera mikia
Nakuja tupinge. Ila usikimbie tu hiyo siku.Hahahaa, tutaona nani atapapaswa na kupa***ktw* siku hiyo....hujaijua historia ya Lunyasi, Wekundu wa Msimbazi
Nakualika uje tupinge
Hakimbii mtu hapa ShadeeyaNakuja tupinge. Ila usikimbie tu hiyo siku.
Nilisikilizia tu tena kwa mafungu. Dakika 2 za mwisho nikajiunga na matangazo na yanga wakaifanyia finishing Simba hahaha. Kocha mkongo, mshambuaji na mfungaji bora wa yanga ni mkongo. Simba watateseka sanaOooh pole na pirika. Uliona jana?
Wameacha soka wamekuwa waimbaji akapelaNdio miziki ilivyo
Bolingo
Kwasakwasa
Nzawisa
Ndombolo
Waache waimbe tu
😁😁😁wasubilie nao viporo vyao ili wabebwe,maana saiz wanaona aibu kusema tunanunua marefa😂😂😂😂 wanune tu. Na hapo kila mechi wanabadilisha sababu. Nimeona wanasema eti jana tumebebwa. Duuuh.
We umepata ubingwa Baada ya miaka mitano hivi na Yanga kwa miaka hiyo yote wakati unakuna nazi tumekuwa mabingwa mara 3 mfululizo na kufika makundi Caf confederation cup mara 2,bado huna adabu au ndo umbumbumbu aliousema Rage? Subilia Nkana wanakuja kukunyosha hapa hapa kwa mchinaSoka la nchi yetu liko hali mbaya kwa kweli. Huyu anayeeongoza ligi ndio achukue ubingwa halafu awakilishe kimataifa wakati zaidi ya matokeo kiuchezaji hana tofauti na ndanda.
Hoyeeeeeeeeeeee. Avatar yako imenivutia Mkuu.Yanga hoooooooooyeeeeeeee!
SEMA SIMBA MNA HALI MBAYA MMEKUWA KAMA WEHU MNAAIMBA NYIMBO HAZIIMBIKI, MMEBAKI NA NGONJERA YA GORI LA UGENINI ETI UTASIKIA WANASEMA MATOKEO NI 2-2 HAMUONI AIBU HATA NIKIMUULIZA MWANANGU MWENYE MWAKA MMOJA ATAKWAMBIA MATOKEO NI NKANA 2-1 SIMBA KWELI NDIO MAANA MKAITWA MIKIA FC (MBUMBUMBU FC). SI MNAOJUA SOKA MNGEKUWA MNAONGOZA LIGI HATA MKISHINDA VIPORO VYENU BADO YANGA YUKO JUU YENUSoka la nchi yetu liko hali mbaya kwa kweli. Huyu anayeeongoza ligi ndio achukue ubingwa halafu awakilishe kimataifa wakati zaidi ya matokeo kiuchezaji hana tofauti na ndanda.