Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,321
- 115,321
Oooh pole na pirika. Uliona jana?Nipo ndugu, pilika tu huwa zinanitoa humu
Oooh pole na pirika. Uliona jana?Nipo ndugu, pilika tu huwa zinanitoa humu
HiIo ni la kwake refa na si la Yanga Brave. 😀Wanasema sema au ndio fact yenyewe refa ban inamuhusu
chezea Yanga ww hatari sanaHiIo ni la kwake refa na si la Yanga Brave. 😀
Ikija VAR huku tutakimbiana humu ujue! Kwa mliozoea mbeleko mtapata tabu sana. Tena siku hizi afande Moroto kaongeza nyingine anasema "Tabu iko palepale"Ndiooo. Na hii ndio sababu ulaya kuna VAR. Waweke na huku TZ ili tusimlaumu mwamuzi sababu si malaika yule Ses.
Hatari mnooo. 😀😀😀😀chezea Yanga ww hatari sana
Sidhani Ses hatutakimbiana sababu hata hao mnaosema wa mbeleko hawatazibeba tena. Ziletwe tu kwa kweli.Ikija VAR huku tutakimbiana humu ujue! Kwa mliozoea mbeleko mtapata tabu sana. Tena siku hizi afande Moroto kaongeza nyingine anasema "Tabu iko palepale"
Tatizo mna sababu nyingi oho Yanga ana bahati,mmetoka hapo Yanga anabebwa sasa ngoja ije VAR Hahaaaaaa MIKIA FC bwana hawakosi sababuIkija VAR huku tutakimbiana humu ujue! Kwa mliozoea mbeleko mtapata tabu sana. Tena siku hizi afande Moroto kaongeza nyingine anasema "Tabu iko palepale"
Si aliezoea kubebwaNauliza nani anateseka? 💃💃💃💃
😀😀😀😀 anatesekaje sa?Si aliezoea kubebwa
TATIZO MKUU WATU WALIIBEZA SANA YANGA KUTOKANA NA KIOSI CHAO WANATAMANIM KILA SIKU YANGA IFUNGWE SO NGOJA WAUMIE HADI ROHO IWATOKE NA NKANA ANAWAGONGA WANAJIPAMOYO NA GOLI LA UGENINI LITAWATOKEA PUANIila kiukwel tuache ushabiki mandazi jana refa hakuwa fair, ni kama siku ile ya prison pia hakuwa fair, waamuz wetu wengi bado hawajakomaa kwenye kutoa maamuzi, ingekuwa simba au yanga ndo imefanyiwa kama ruvu jana hakika mashabiki wangeleta vurugu.
Kingine muda bado sana hadi ligi iishe, naona tutunze maneno kdg tuache miemko isiyo na tija.
Ligi bado mbichi kabisa hii, vuta subira utajua nani mbabe itakapoanza raundi ya piliTatizo mna sababu nyingi oho Yanga ana bahati,mmetoka hapo Yanga anabebwa sasa ngoja ije VAR Hahaaaaaa MIKIA FC bwana hawakosi sababu
TATIZO MKUU WATU WALIIBEZA SANA YANGA (WAONGEA HOVYO SANA AKINA MANARA NA MASHABIKI WAO) KUTOKANA NA KIKOSI CHAO WANATAMANIM KILA SIKU YANGA IFUNGWE SO NGOJA WAUMIE HADI ROHO IWATOKE NA NKANA ANAWAGONGA WANAJIPAMOYO NA GOLI LA UGENINI LITAWATOKEA PUANI
Jifarijini tu biashara mapema jioni mahesabuLigi bado mbichi kabisa hii, vuta subira utajua nani mbabe itakapoanza raundi ya pili
Ni pale mbeleko itakapoanza kuchanika Shadeeya, tena hata kabda ya kuja kwa VAR raundi ya pili ndio mtajua kwamba hiyo nafasi mliyokalia kwa kubebwa kumbe sio yakwenu, ina mwenyewe😀😀😀😀 anatesekaje sa?
Hivi wanaobebwa ni wapi mmepewa wiki mbili kujiandaa na Nkana halafu mmepigwa si mgecheza angalau mechi hata moja ikajulikana mnalimbikiza maviporo yasiyo ya lazima (wiki mbili kwa mpira ule) mtasubiri sana hayo maneno hamjayaanza leo umekuwa kama wimbo jifarijini tu ndo mtajua kuwa gori la ugenini lina faida ama halina faidaNi pale mbeleko itakapoanza kuchanika Shadeeya, tena hata kabda ya kuja kwa VAR raundi ya pili ndio mtajua kwamba hiyo nafasi mliyokalia kwa kubebwa kumbe sio yakwenu, ina mwenyewe
Mkuu mimi sizungumzii timu yoyote hapa, nazungumzia makosa waamuzi wetu wanayofanya, ndomaana nimesema tuache ushabiki wa usimba na uyanga tuongelee tatzo la marefa wetu.TATIZO MKUU WATU WALIIBEZA SANA YANGA KUTOKANA NA KIOSI CHAO WANATAMANIM KILA SIKU YANGA IFUNGWE SO NGOJA WAUMIE HADI ROHO IWATOKE NA NKANA ANAWAGONGA WANAJIPAMOYO NA GOLI LA UGENINI LITAWATOKEA PUANI
Nsona alitokomea kusikojulikana.Hivi alikujibu hapa?
Rejea mechi ya Prisons tulilalamika sana refa alivyotundea kwenye baadhi ya matukio. Mlikaa kimya. Leo kibao kimegeuka mnalalamika. Mnachotakiwa kujua inapokuja kesi ya mwamuzi kuvurunda inabidi sote tuongee Lugha moja kwa mustakabali mwema wa soka la nchi yetu.Uliangalia mechi yote lakini Shadeeya au kuna nyakati ilibidi uzime TV kwa muda ili pressure isipande? Kama uliangalia hebu sema ukweli wako mbeleko hukuiona? Msema kweli ni mpenzi wa Mungu ujue! Cmb