Muwe mnaona aibu basi hata kidogo.Kubebwa kote kule bado mnajisifu tu?
Kwa hiyo tumehonga?!Muwe mnaona aibu basi hata kidogo.Kubebwa kote kule bado mnajisifu tu?
Hamjahonga,na hakuna aliyesema mmehonga.Inawezekana yaliyotokea ni makosa ya waamuzi wenyewe.Kwa hiyo tumehonga?!
Watapata tabu kwavile ligi imebakiza mechi mbili tu iishe,na bingwa atangazwe.Mikia watapata sana tabu msimu huu
Kwani mnatesekaWatapata tabu kwavile ligi imebakiza mechi mbili tu iishe,na bingwa atangazwe.
Unakazi sana mkuu,relax usijepata ulcers bureWatapata tabu kwavile ligi imebakiza mechi mbili tu iishe,na bingwa atangazwe.
Tunateseka kwavile Yanga kabakisha mechi mbili tu ligi ifikie tamati,bingwa atangazwe.Maana mwaka huu ligi inaisha mwezi huu wa December, 2018.Kwani mnateseka
Mkuu ulcers nilikuwa nayo miaka mingi,na sasa imebaki historia.Kwani kuna kinachoshindikana huku Lake Tanganyika?Ni kifo halali toka kwa Mwenyezi Mungu tu.Unakazi sana mkuu,relax usijepata ulcers bure
Wataanza Chama, Kagere na Okwi kwa pamojaDawa ya Makambo ni kumsababishia injury ya maana itakachomkalisha miezi kama miwili