YANGA na doa JEKUNDU

Kekundu? Utakuta viongozi wanatumia line za voda hawagomi lkn jezi utata.
 
Klabu ya Yanga imekuwa na malumbano na TFF kuhusiana na nembo ya wadhamini wa ligi kuu ya Vodacom, issue ni doa jekundu katika jezi ambazo wadhamini hao wanazotoa kwa vilabu vyote vinavyoshiriki ligi hiyo, Wanajangwani wanalalamika kuwa lazima doa hilo jekundu liondolewe liwekwe la njano au kijani/nyeusi ................. mbona wachezaji wao wanavaa viatu vyekundu na wanafunga magoli na mara nyingine wanafungwa? na zile noti nyekundu vp... hivi rangi nyekundu ambayo haitakiwi hili DOA la VODACOM au mna lenu jambo?

Acheni Maneno; UMESIKIA YANGA inaongelea JENGO LA MZIMBAZI jinsi Wachina Wanavyolimiliki?
 
Mzee akilimali anakwambia Yanga iligomea rangi nyekundu tokea enzi za Gavana wa Tanganyika sir.Edward Twining.Mzee akilimali anazidi kudadavua kwamba rangi za kijani na Njano zinakawakilisha uafrika halisi na mali asili zilizopo hapa nchini.
 
So what? hawa Yanga hawana jipya kwani logo ya Voda inaathiri nini?:A S embarassed:

Kwani inaongeza nini, au mambo yenu ya kuwaridhisha wazungu tu! Yanga ilikuwepo kabla ya vodacom na itakuwepo makaburu wamekuja kupiga hela na kusepa. Jezi wanazotoa ni magumashi tu hatuoni Nike/puma/adidas brand zilizokubalika.

Yaani premier league wanazo rangi zao dark blue na barclays ni light blue, hii ni logo yao kabla ya barclays na walipokuja barclays walifuata matakwa ya league yaani dark blue
images


images
barclays wanatumia logo hii ktk premier lakini logo yao hasa ni hii
images
 
Lakini bongo akija mzungu Tielfu elfu wanakuwa kama Diamond platnum, yaani wako tayari hata kuvua boxer wambong'olee ili wasimuudhi, sasa hiyo ni kwenu.

Yanga na african Lyon wanayohaki ya kusikilizwa, they have point wasikilizwe yaani bongo we acha tu, Chama cha mpira wanashindwa kutafuta hata viwanja vizuri league iwe bora wanabaki kuwa madalali wa mabepari. Mkitaka kukichafua washushe yanga daraja muone nguvu ya umma maana yake nini.
 
images
images
images
arsenal-away-shirt-2011-2012.jpg
images
images


Mbona Ulaya logo zinabadilika kufuata matakwa ya team, Bravo Yanga mdhamini lazima aheshimu matakwa ya klabu mbona ulaya wanafuata na wanalipa pesa za kutosha huku watu wanatoa midosho na kutaka wasikilizwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom