luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wewe Nafaka pitia usome hapa usiwe mbwatukaji tuWakati Yanga SC wanang'ang'ana na saa 24 kupewa taarifa. TFF wanaweza kuchomoa kwa hicho kifungu cha tatu. Wakisema walichoelezwa na upande wa Serikali kilikuwa ni cha dharura na msingi.
Wakati huo, si kila kilicho cha dharura na msingi kwa TFF, ni lazima kiwe hivyo kwa Yanga SC.
Kuna upenyo wa ki-mamlaka TFF wanaweza kuutumia na kulingana na kwamba wao si kisiwa, bado wanahitaji kufanya kazi vyema na Serikali.
Ukisoma sheria na kanuni tusipende kuutumia mstari mmoja, baadaye ndo tunabwagwa kirahisi sana.
Huwezi kugomea jambo la Serikali, hasa pale unaendesha mambo yako chini ya mwanvuli wake, uwanja wao na ulinzi ni wao. Ili uendeshe hiyo michezo unahitaji ushiriki wa Serkali kwa njia moja au nyingine.
Wakikwambia tuna dharura ya chochote kwa tukio linaloenda kutokea hapo uwanjani huwezi kuvimba ukaendelea kwani huwezi kujibeba kivyakovyako.
Mengine tunabaki ni ushabiki na ukereketwa tu.
View attachment 1778287
Umesoma ile attachment?Ngoja tusubiri tuone nani yuko sawa. Ni mwendo wa kanuni na vifungu tu hapo juu ninaona hisia zaidi tu
Yah ni utopolo. Hata wao wanajua wamekosea. Ngoja tusubiri mwisho wa saga itajulikana nani yuko sawa nani kakosea. Hatutaki janja janjaUmesoma ile attachment ?
serikali iwaajiri sasa walimu wa arts
mpaka mnajiajiri wenyewe humu
TFF Ni lini waliifavour Yanga kwenye maamuzi yao. Itoshe kusema Karia na wahuni wenzie siku zao zinahesabika hapo karume mwezi wa name siyo mbali tunaenda kufuatilia mbali upuuzi huu wote.TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.
Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.
Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.
Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Ajabu Mwakalebela alipopewa adhabu alikimbilia serikalini badala ya kufata kanuniTFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.
Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.
Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.
Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Hakuna Cha kusoma hapo yote uliyoandika hapo Ni rubbish a.k.a takatakaWw Nafaka pitia usome hapa usiwe mbwatukaji tu
Kwa Hilo lililotokea Yanga wapo sahihi TFF wamezingua Sana tena wangetuomba msamaha washabiki wote au huyo anaeshughulikia mawasiliano aondokeTFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.
Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.
Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.
Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Namba tatu inamaanisha tff wao wanaweza kubadili mda wa mchezo husika,hapo hapo kinasema kwa sababu ambazo Tff italizika na sababu hizo,hapa sheria imetaja ikilizika TFF,sasa Tff walitakiwa wawaite viongozi wa timu zote mbili na waongee nao kuna mabadiliko ya mda yametokana na sababu hii na hii.unavyosema tumesogeza mda wa mchezo kwa maelekezo kutoka serikalini maelekezo ambayo wadau hawayajayajua kunaleta sintofahamu,Wakati Yanga SC wanang'ang'ana na saa 24 kupewa taarifa. TFF wanaweza kuchomoa kwa hicho kifungu cha tatu. Wakisema walichoelezwa na upande wa Serikali kilikuwa ni cha dharura na msingi.
Wakati huo, si kila kilicho cha dharura na msingi kwa TFF, ni lazima kiwe hivyo kwa Yanga SC.
Kuna upenyo wa ki-mamlaka TFF wanaweza kuutumia na kulingana na kwamba wao si kisiwa, bado wanahitaji kufanya kazi vyema na Serikali.
Ukisoma sheria na kanuni tusipende kuutumia mstari mmoja, baadaye ndo tunabwagwa kirahisi sana.
Huwezi kugomea jambo la Serikali, hasa pale unaendesha mambo yako chini ya mwanvuli wake, uwanja wao na ulinzi ni wao. Ili uendeshe hiyo michezo unahitaji ushiriki wa Serkali kwa njia moja au nyingine.
Wakikwambia tuna dharura ya chochote kwa tukio linaloenda kutokea hapo uwanjani huwezi kuvimba ukaendelea kwani huwezi kujibeba kivyakovyako.
Mengine tunabaki ni ushabiki na ukereketwa tu.
View attachment 1778287
Ubongo wako utakuwa una hitilafuHakuna Cha kusoma hapo yote uliyoandika hapo Ni rubbish a.k.a takataka
Wapi nimekosea kuandika?Andika lugha yako kwa ufasaha boya wewe
Namba tatu inamaanisha tff wao wanaweza kubadili mda wa mchezo husika,hapo hapo kinasema kwa sababu ambazo Tff italizika na sababu hizo,hapa sheria imetaja ikilizika TFF,sasa Tff walitakiwa wawaite viongozi wa timu zote mbili na waongee nao kuna mabadiliko ya mda yametokana na sababu hii na hii.unavyosema tumesogeza mda wa mchezo kwa maelekezo kutoka serikalini maelekezo ambayo wadau hawayajayajua kunaleta sintofahamu,
Fifa inakataza serikali kuingilia maswala ya mpira.sasa kama wao Tff jeuri iwachukulie hatua yanga ya kuipokea pointi,kisha Yanga nao waende Fifa wakaishtaki tff kwa jambo hili la kubadili ratiba kwa sababu wameambiwa na serikali
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.
Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.
Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.
Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Morrison kamtia Dole Refa, TFFwamechukua hatua gani?TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.
Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.
Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.
Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Mechi hii ipangwe siku ya mwisho SIMBA alikabidhiwa kombe, tena akikabidhiwa kombe na mechi kadhaa mkononi. Watakuja tu kwa lazima au waisuse timu yao ila hamna namna. Itapendeza sanaTFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.
Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.
Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.
Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.