Mbongo4life
Senior Member
- Nov 1, 2021
- 132
- 268
Morrison aliondoka Yanga kwa nyodo sana so to me kuona yanga leo wanamtaka tena kwa kweli ni ishara ya kukubali udogo wao dhidi ya simba . Simba wanachukua mchezaji kutoka Yanga akiwa kwenye top form wakati Yanga wanachukua walioachwa Simba . Timu kubwa haiwezi kuwa dhaifu kiasi hiki mchezaji anaondoka tena kwa dharau wakati bado mnamuhitaji alafu anatemwa huko aliko kwa kukosa namba nyie mnamrudisha?