pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,098
- 12,473
Habari za weekend wadau,
Tukiwa tunasubiria burudani kutoka Benjamin william mkapa kati ya yanga na al ahly na kule Botswana kati ya jwaneng galaxy na simba nimeona mitandaoni mahojiano ya baba mzazi wa yanga Ibrahim bacca na mwandishi inafikirisha na kusikitisha sana.
Baada ya kumsikiliza baba yake Ibrahim bacca kutoka visiwa vya marashi na karafuu nimeamini yule engineer hersi ni mafia kweli sema anajificha kwenye kivuli cha matokeo na mwenendo wa yanga ila yule ni mafia wa kuotea mbali.
Feisal Salum alisema ili arudi yanga labda engineer hersi aondoke ila mashabiki wakamshambulia bila kujua uhalisia ila feisal hakukurupuka kwasababu feisal anaijua yanga kuliko engineer hersi alikuwepo kipindi yanga inapitia kipindi kigumu na alikaa licha ya hali mbaya ya team.
Nimemsikiliza baba yake mzazi wa mchezaji Ibrahim bacca anasema mwanawe alikuwa analipwa 1.5 million kabla ya ku renew mkataba mpya kweli kupambana kote kule kumbe mshahara wenyewe wanamlipa kama wa coastal union ila engineer hersi ni mafia sana kwa kuwa mashabiki wa yanga wanaangalia matokeo tu hawawezi kuliona hlo na hata malipo ya sasa inaonekana sio mazuri japo mzee hajaweka wazi ni kiasi gani analipwa baada ya mkataba mpya ila ni kama anasikitika na haridhishwi na malipo hayo baada ya kukataa kujibu swali hlo.
Ukiangalia alivyoondoka yannick bangala djuma shaban na saido ntibanzonkiza utaona umafia wa engineer hersi hata juzi kati mayele alihojiwa kuhusu kurudi tena yanga alijibu mimi na yanga tumemalizana yaani hata akirudi Tanzania sio kuichezea yanga unaona tatizo lililopo la engineer hersi na hata fabrice ngoma wakati amepata dili la kwenda yanga aliwatafuta wa Congo man wenzake pale yanga wakamwambia huku hakufai kama una sehemu nyingine we nenda ila sio yanga ndio ukasikia watu wanalalamika wameibiwa mchezaji airport.
Stephan ki Aziz kashaona pale yanga ni wasanii sasa hivi anazungushana nao kwenye mkataba wakati huo max zingeli naye akiwa hafurahishwi na engineer hersi alivyo msanii kwa kushindwa kutimiza mahitaji yake kwa wakati na kuanza kuangalia uwezekano wa kuondoka clubuni hapo engineer hersi ni mafia haswa kwasababu yanga imemgaragaza mtani na kuchukua NBC premier league na kufanya vizuri Caf confederation cup mashabiki hawawezi kukubali wala kuamini umafia wa GSM wao wanaangalia matokeo tu kweli Ibrahim bacca ni wakulipwa 1.5 million na inaonekana wapo wengi wanaopewa pesa za housegirl pale Yanga.
NB: Kwakuwa Jamiiforums ina hifadhi kumbukumbu ipo siku umafia wa engineer Hersi utakuwa hadharani pale yanga na tutarudi hapa kuhitimisha because time is the best teacher.
Tukiwa tunasubiria burudani kutoka Benjamin william mkapa kati ya yanga na al ahly na kule Botswana kati ya jwaneng galaxy na simba nimeona mitandaoni mahojiano ya baba mzazi wa yanga Ibrahim bacca na mwandishi inafikirisha na kusikitisha sana.
Baada ya kumsikiliza baba yake Ibrahim bacca kutoka visiwa vya marashi na karafuu nimeamini yule engineer hersi ni mafia kweli sema anajificha kwenye kivuli cha matokeo na mwenendo wa yanga ila yule ni mafia wa kuotea mbali.
Feisal Salum alisema ili arudi yanga labda engineer hersi aondoke ila mashabiki wakamshambulia bila kujua uhalisia ila feisal hakukurupuka kwasababu feisal anaijua yanga kuliko engineer hersi alikuwepo kipindi yanga inapitia kipindi kigumu na alikaa licha ya hali mbaya ya team.
Nimemsikiliza baba yake mzazi wa mchezaji Ibrahim bacca anasema mwanawe alikuwa analipwa 1.5 million kabla ya ku renew mkataba mpya kweli kupambana kote kule kumbe mshahara wenyewe wanamlipa kama wa coastal union ila engineer hersi ni mafia sana kwa kuwa mashabiki wa yanga wanaangalia matokeo tu hawawezi kuliona hlo na hata malipo ya sasa inaonekana sio mazuri japo mzee hajaweka wazi ni kiasi gani analipwa baada ya mkataba mpya ila ni kama anasikitika na haridhishwi na malipo hayo baada ya kukataa kujibu swali hlo.
Ukiangalia alivyoondoka yannick bangala djuma shaban na saido ntibanzonkiza utaona umafia wa engineer hersi hata juzi kati mayele alihojiwa kuhusu kurudi tena yanga alijibu mimi na yanga tumemalizana yaani hata akirudi Tanzania sio kuichezea yanga unaona tatizo lililopo la engineer hersi na hata fabrice ngoma wakati amepata dili la kwenda yanga aliwatafuta wa Congo man wenzake pale yanga wakamwambia huku hakufai kama una sehemu nyingine we nenda ila sio yanga ndio ukasikia watu wanalalamika wameibiwa mchezaji airport.
Stephan ki Aziz kashaona pale yanga ni wasanii sasa hivi anazungushana nao kwenye mkataba wakati huo max zingeli naye akiwa hafurahishwi na engineer hersi alivyo msanii kwa kushindwa kutimiza mahitaji yake kwa wakati na kuanza kuangalia uwezekano wa kuondoka clubuni hapo engineer hersi ni mafia haswa kwasababu yanga imemgaragaza mtani na kuchukua NBC premier league na kufanya vizuri Caf confederation cup mashabiki hawawezi kukubali wala kuamini umafia wa GSM wao wanaangalia matokeo tu kweli Ibrahim bacca ni wakulipwa 1.5 million na inaonekana wapo wengi wanaopewa pesa za housegirl pale Yanga.
NB: Kwakuwa Jamiiforums ina hifadhi kumbukumbu ipo siku umafia wa engineer Hersi utakuwa hadharani pale yanga na tutarudi hapa kuhitimisha because time is the best teacher.