Yanga kuitisha kikao chenu kwa nini msiseme wanachama kuwa na hisa sio kujizungusha

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,611
8,746
Kiukweli nchi hii ukiwa akili au tajiri utazidi kuwa tajiri.

kuwepo kwa kadi za uwananchama sio kutengeneza mazingira ya kuwachangisha kisha muwekezaji asitumie pesa yake.

wanachama watakapo kuwa na kadi za electronic au njia nyengine za kuchangia basi tambua wananchama wa club ndio watakuwa na pesa nyingi ukilinganisha muwekezaji.

Mtindo huu utafanya muwekezaji kutotoa pesa yake sababu pesa zenu. Kama wananchi zinaendesha timu.

Kwanini klabu zetu zinakataa kuingia kwenye hisa na hizo zikawa faida kila mwaka kupata gawio la wanachama ambao wameweka hisa zao sio ada kila mwezi.

Mnanunua wachezaji kuwauza kwa bei lakini faida inakwenda kwa nani wakati mwanachama ana mchango wa makato.

kuna kitu kushtuka kwa ili
 
Daah, hatari, ila..

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Daah, hatari, ila..

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Naunga mkono mtindo wako wa uwasilishaji. Yaani wewe umeamua Kufa na bandari za Tanganyika. Mungu azidi kukupa nguvu. Kila unapopata nafasi unapiga spana.
 
Daah, hatari, ila..

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Hii hoja kama ni kweli machozi yamenilenga lenga
 
Kiukweli nchi hii ukiwa akili au tajiri utazidi kuwa tajiri.

kuwepo kwa kadi za uwananchama sio kutengeneza mazingira ya kuwachangisha kisha muwekezaji asitumie pesa yake.

wanachama watakapo kuwa na kadi za electronic au njia nyengine za kuchangia basi tambua wananchama wa club ndio watakuwa na pesa nyingi ukilinganisha muwekezaji.

Mtindo huu utafanya muwekezaji kutotoa pesa yake sababu pesa zenu. Kama wananchi zinaendesha timu.

Kwanini klabu zetu zinakataa kuingia kwenye hisa na hizo zikawa faida kila mwaka kupata gawio la wanachama ambao wameweka hisa zao sio ada kila mwezi.

Mnanunua wachezaji kuwauza kwa bei lakini faida inakwenda kwa nani wakati mwanachama ana mchango wa makato.

kuna kitu kushtuka kwa ili
sikia kama hujui kitu nyamaza,kadi za uanachama na hisa ni vitu viwili tofauti.mfumo wa kuiendesha yanga umejengwa kwa ushirikiano baina ya la liga na yanga ambapo la liga iliwapa mafunzo viongozi wa yanga,ambao walikuja na mapendekezo ya katiba mpya ya yanga iliyopitishwa na wanachama.hatua ya pili ni kujenga mfumo wa wanachama ambao hivi sasa unaendelea na leo umeona yanga imetia saini na nmb kuhusu kusajili wanachama.hatua ya tatu itakuwa kuithaminisha yanga ili ipate thamani ya hisa ambapo wanachama watakuwanna hisa 51 na wawekezaji hisa 49 na hiyo thamani itawekwa kwenye kitabu maalumu.sasa baada ya hapo ndipo hisa zitatangazwa ili wawekezaji na wanachama waanza kununua,na hatua zote hizo ni lazima ziidhinishwe na mamlaka za kiserikali,hivyo usidhani hisa unajitangazia tu.yanga wanaenda vizuri sana na watakuwa ni klabu ya kwa kwanza kwa kanda ya afrika mashariki na kati kiwa na mfumo huu

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
sikia kama hujui kitu nyamaza,kadi za uanachama na hisa ni vitu viwili tofauti.mfumo wa kuiendesha yanga umejengwa kwa ushirikiano baina ya la liga na yanga ambapo la liga iliwapa mafunzo viongozi wa yanga,ambao walikuja na mapendekezo ya katiba mpya ya yanga iliyopitishwa na wanachama.hatua ya pili ni kujenga mfumo wa wanachama ambao hivi sasa unaendelea na leo umeona yanga imetia saini na nmb kuhusu kusajili wanachama.hatua ya tatu itakuwa kuithaminisha yanga ili ipate thamani ya hisa ambapo wanachama watakuwanna hisa 51 na wawekezaji hisa 49 na hiyo thamani itawekwa kwenye kitabu maalumu.sasa baada ya hapo ndipo hisa zitatangazwa ili wawekezaji na wanachama waanza kununua,na hatua zote hizo ni lazima ziidhinishwe na mamlaka za kiserikali,hivyo usidhani hisa unajitangazia tu.yanga wanaenda vizuri sana na watakuwa ni klabu ya kwa kwanza kwa kanda ya afrika mashariki na kati kiwa na mfumo huu

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app

bora kunyamaza wewe kuliko kukurupa.unaelewa maana ya kuwa mwanachama na hisa.
rudi tafakari kwanza kwa nini ligi za wingereza wameweza na watu wanawekeza sana ligi za huko
 
Kiukweli nchi hii ukiwa akili au tajiri utazidi kuwa tajiri.

kuwepo kwa kadi za uwananchama sio kutengeneza mazingira ya kuwachangisha kisha muwekezaji asitumie pesa yake.

wanachama watakapo kuwa na kadi za electronic au njia nyengine za kuchangia basi tambua wananchama wa club ndio watakuwa na pesa nyingi ukilinganisha muwekezaji.

Mtindo huu utafanya muwekezaji kutotoa pesa yake sababu pesa zenu. Kama wananchi zinaendesha timu.

Kwanini klabu zetu zinakataa kuingia kwenye hisa na hizo zikawa faida kila mwaka kupata gawio la wanachama ambao wameweka hisa zao sio ada kila mwezi.

Mnanunua wachezaji kuwauza kwa bei lakini faida inakwenda kwa nani wakati mwanachama ana mchango wa makato.

kuna kitu kushtuka kwa ili
Pamoja na mambo mengine ni lazima utambue idadi ya wanachama ili upate thamani ya club mimi naona wapo sahihi
 
bora kunyamaza wewe kuliko kukurupa.unaelewa maana ya kuwa mwanachama na hisa.
rudi tafakari kwanza kwa nini ligi za wingereza wameweza na watu wanawekeza sana ligi za huko
huna unachojua kaa kimya,hapa hatupo uingereza tupo tanzania na mifumo inafata sheria za nchi hii,hazifati za uingereza ambako hata huapajui na wala hutafika milele,weka makalio yako chini ufundishwe

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na mambo mengine ni lazima utambue idadi ya wanachama ili upate thamani ya club mimi naona wapo sahihi
yes wapi sahihi kabisa kwenye club valuation wataangalia mambo yafuatayo:
1.idadi ya wanachama
2.idadi ya mashabiki
3.assets walizonazo
4.ushindi wanaoupata uwanjani japo kwa kiasi fulanu ndipo kitabu cha hisa kitaandaliwa na nimepewa fununu kuwa kampuni kutoka hispania ndio itafanya kazi hii.ni muhimu sana kwa wanachama kujiandisha na kulioa ada ya uanachama

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
kuwepo kwa kadi za uwananchama sio kutengeneza mazingira ya kuwachangisha kisha muwekezaji asitumie pesa yake.
Unachanganya sana mambo! Suala la Wanachama kwa Klabu za Simba na Uto lipo hata kabla mimi na wewe hatujazaliwa. Tofauti ya wakati huo na hiki ambacho Uto wamefanya leo leo ni mfumo. Zamani hakukuwa na mfumo unaowezesha kusajili wanachama wapya na kuwawezesha kulipia ada zao za uanachama. Kinachofanyika leo ni kuwawezesha wapenzi na mashabiki wa Uto popote walipo kutumia matawi ya NMB, NBC au CRDB kufanya kile kile ambacho zamani wangetakiwa waende kwenye tawi lililo karibu. Na kwavile wanatumia benki, hatimae ulipiaji wa ada ya uanachama kila mwaka nao itakuwa rahisi wakati zamani hakukuwa na efficient.

Na ukija suala la hisa, mfumo huu ukifanikiwa utaiwezesha Utopolo FC kuwa na thamani kubwa zaidi na hivyo kufanya hisa zake kuwa na thamani pale watakapoanza kuuza. Assume mfumo huu ukifanikiwa kupata Wanachama hai 500K tu watakaokuwa wanalipia kadi zao kwa 24K, ina maana Uto watakuwa wanaingiza angalau 10B kwa mwaka kupitia ada za uanachama peke yake. Sasa kama Klabu inaweza ku-generate 10B kupitia ada za wanachama, maana yake thamani ya Klabu itakuwa kubwa. Simba tulilazimika kuuza 49% ya hisa kwa sababu hatukuwa na vyanzo vya mapato, kwahiyo mzigo wowote ambao tungewekewa tungeukubali tu kwa sababu ya njaa. Hata hawa akina M Bet wakiona Klabu inaweza ku-generate 10B wenyewe, hawawezi tena kutoa udhamini wa 4B bali wataongeza mzigo kwa kuona Klabu hazina njaa!

Sasa hapa labda uongozi wa Uto wenyewe ndo wafanye uhuni lakini hiki wanachokifanya kikifanikiwa basi hata thamani ya hisa zao itakuwa juu kwa sababu hawatakuwa na njaa za kijinga! Na lingine kwavile haya mapato yatakuwa yanapitia moja kwa moja benki, basi itakuwa rahisi kwao hata kukopa kufanya financing za miradi yao kama vile ujenzi wa uwanja n.k. Vile vile hii itawawezesha kuwa na credible database ya wanachama na endapo watakuwa wengi, huo ni mtaji mwingine wa kuongeza thamani ya hisa za klabu.

Kwa maana nyingine, wenzetu wanaanza kumnenepesha ng'ombe kabla ya kumpeleka mnadani!
 
Unachanganya sana mambo! Suala la Wanachama kwa Klabu za Simba na Uto lipo hata kabla mimi na wewe hatujazaliwa. Tofauti ya wakati huo na hiki ambacho Uto wamefanya leo leo ni mfumo. Zamani hakukuwa na mfumo unaowezesha kusajili wanachama wapya na kuwawezesha kulipia ada zao za uanachama. Kinachofanyika leo ni kuwawezesha wapenzi na mashabiki wa Uto popote walipo kutumia matawi ya NMB, NBC au CRDB kufanya kile kile ambacho zamani wangetakiwa waende kwenye tawi lililo karibu. Na kwavile wanatumia benki, hatimae ulipiaji wa ada ya uanachama kila mwaka nao itakuwa rahisi wakati zamani hakukuwa na efficient.

Na ukija suala la hisa, mfumo huu ukifanikiwa utaiwezesha Utopolo FC kuwa na thamani kubwa zaidi na hivyo kufanya hisa zake kuwa na thamani pale watakapoanza kuuza. Assume mfumo huu ukifanikiwa kupata Wanachama hai 500K tu watakaokuwa wanalipia kadi zao kwa 24K, ina maana Uto watakuwa wanaingiza angalau 10B kwa mwaka kupitia ada za uanachama peke yake. Sasa kama Klabu inaweza ku-generate 10B kupitia ada za wanachama, maana yake thamani ya Klabu itakuwa kubwa. Simba tulilazimika kuuza 49% ya hisa kwa sababu hatukuwa na vyanzo vya mapato, kwahiyo mzigo wowote ambao tungewekewa tungeukubali tu kwa sababu ya njaa. Hata hawa akina M Bet wakiona Klabu inaweza ku-generate 10B wenyewe, hawawezi tena kutoa udhamini wa 4B bali wataongeza mzigo kwa kuona Klabu hazina njaa!

Sasa hapa labda uongozi wa Uto wenyewe ndo wafanye uhuni lakini hiki wanachokifanya kikifanikiwa basi hata thamani ya hisa zao itakuwa juu kwa sababu hawatakuwa na njaa za kijinga! Na lingine kwavile haya mapato yatakuwa yanapitia moja kwa moja benki, basi itakuwa rahisi kwao hata kukopa kufanya financing za miradi yao kama vile ujenzi wa uwanja n.k. Vile vile hii itawawezesha kuwa na credible database ya wanachama na endapo watakuwa wengi, huo ni mtaji mwingine wa kuongeza thamani ya hisa za klabu.

Kwa maana nyingine, wenzetu wanaanza kumnenepesha ng'ombe kabla ya kumpeleka mnadani!
Umeandika vizuri, vilabu vingine havilazimishwi ila vijifunze Kwa hili. Simba walichofanya kwenye hisa hakina tofauti na DP world.
 
....hatua ya tatu itakuwa kuithaminisha yanga ili ipate thamani ya hisa ambapo wanachama watakuwanna hisa 51 na wawekezaji hisa 49
Kwa hiyo hadi hivi sasa, thamani ya Yanga haijulikani, hivyo hakuna hela ya mwekezaji/ wawekezaji iliyowekwa popote pale katika benki? Sasa kama ndivyo, kwa nini huwa wanahoji uwekezaji wa 20B za Mo kwa 49% pale Simba, na huwa wanaenda mbali zaidi kwa kuhoji benki ambayo inazitunza fedha hizo? Kumbe wao wako hatua za nyuma kabisa na haijulikani wataifikia walau hiyo ya Simba lini?
 
Kwa hiyo hadi hivi sasa, thamani ya Yanga haijulikani, hivyo hakuna hela ya mwekezaji/ wawekezaji iliyowekwa popote pale katika benki? Sasa kama ndivyo, kwa nini huwa wanahoji uwekezaji wa 20B za Mo kwa 49% pale Simba, na huwa wanaenda mbali zaidi kwa kuhoji benki ambayo inazitunza fedha hizo? Kumbe wao wako hatua za nyuma kabisa na haijulikani wataifikia walau hiyo ya Simba lini?
Lakini ni bora kuwa hatua za nyuma kuliko kwenda mbio baadae unapata hasara, alie thaminisha 20B kwa Mo ni nani?
 
Kwa hiyo hadi hivi sasa, thamani ya Yanga haijulikani, hivyo hakuna hela ya mwekezaji/ wawekezaji iliyowekwa popote pale katika benki? Sasa kama ndivyo, kwa nini huwa wanahoji uwekezaji wa 20B za Mo kwa 49% pale Simba, na huwa wanaenda mbali zaidi kwa kuhoji benki ambayo inazitunza fedha hizo? Kumbe wao wako hatua za nyuma kabisa na haijulikani wataifikia walau hiyo ya Simba lini?
kwa sasa yanga wanajenga thamani kwanza na wakishamaliza,watatoa kandarasi kwa kampuni itakayofanya tathmini hiyo na kandarasi hiyo ni lazima itolewe kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi na ni lazima iidhinishwe na fcc,tume ya ushindani,baada ya hapo ndipo prospectus itaandikwa ikitaja thamani halisi ya hisa na ndipo wawekezaji watakaribishwa,thamani ile ya simba haikufata mtiririko huu ndio maana fcc,wameipiga stop ila wao hawataki kusema
 
Lakini ni bora kuwa hatua za nyuma kuliko kwenda mbio baadae unapata hasara, alie thaminisha 20B kwa Mo ni nani?
Unajuaje kama ni faida wakati thamani haijulikani? Muwekezaji anaweka kulingana na thamani itakayowasilishwa. Akipima akaona imekuzwa sana, wala hatathubutu kununua hisa, jambo ambalo litawalazimisha Yanga either wanachama waiendeshe wenyewe kwa kununua hisa zote kwa 100% au kwa kushusha bei ya hisa. Usifikiri hisa zinapandishwa thamani kwa matamanio tu ya mmiliki, lazima kuwepo biashara inayolipa
 
Unajuaje kama ni faida wakati thamani haijulikani? Muwekezaji anaweka kulingana na thamani itakayowasilishwa. Akipima akaona imekuzwa sana, wala hatathubutu kununua hisa, jambo ambalo litawalazimisha Yanga either wanachama waiendeshe wenyewe kwa kununua hisa zote kwa 100% au kwa kushusha bei ya hisa. Usifikiri hisa zinapandishwa thamani kwa matamanio tu ya mmiliki, lazima kuwepo biashara inayolipa
Tatizo u Simba na Yanga unawafanya mnakosa akili sasa utaijua vipi thamani ya club (ya wanachama) bila kua na data base? mfano uta negotiate vipi biashara na kampuni ili ukudhamini kama haujui idadi ya wanachama na mashabiki wako? Zile 20B zilithaminishwa kwa kitu gani? Je ni ni kweli thamani ya Simba ni cheap kiasi hicho?
 
Zile 20B zilithaminishwa kwa kitu gani? Je ni ni kweli thamani ya Simba ni cheap kiasi hicho?
Tena hiyo 20B ni miaka mitatu imepita, lakini sasa hivi si rahisi kwa mwekezaji au muungano wa wawekezaji atakayekubali kununua hisa za Yanga za 49% kwa bei hiyo, maana ni hasara kwa wawekezaji
 
Back
Top Bottom