Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,825
majanga hayo.bongo usajili unafanywa na viongozi? lazima siasa ziwepo hapo
Unajua ni kwa nini Sandro Rossel amejiuzulu Urais wa Barca?
majanga hayo.bongo usajili unafanywa na viongozi? lazima siasa ziwepo hapo
Nah!....nadhan kesi yake hailingani na hii ya Yanga
Belo Upo?
Jina la mchezaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda halijaorodheshwa katika majina watakaoichezea klabu ya Yanga kwenye mzunguko wa ligi kuu ya Tanzania bara mzunguko wa pili.hii ni kutokana na sakata lake na Etoile du sahel kutokumalizika hivyo kwa mzunguko huu Yanga hawataweza kumtumia Okwi mpaka utata utakapoisha.
Jana Fredrick Mwakalebela kwenye akaunti yake ya facebook aliandika kuwa ameota kuwa sakata la Okwi limeibuka upya,leo hii habari hiyo imekuwa kweli.
Polen sana wana Yanga naona taratibu mnaanza kufuata nyayo za ubabaishaji za ndugu zenu Simba.
Source: shaffihdauda.com
Unajua ni kwa nini Sandro Rossel amejiuzulu Urais wa Barca?