Hii timu naifananisha na chadema make kasi ya chadema kupokea wanachama wapya kwenye ngome ya ccm kusini, ni sawa na kasi ya yanga inavobomoa mgome ya mpinzani simba,. Karibu peponi yondani na nyoso,. Mmekataa kuongozwa na gamba
Unajua siku ya tar 6 May 2012, nilikuwa naona ni siku ya kawaida tu kama siku zingine kumbe kuna watu iliwachanganya sana.
Nadhan ndo kipigi hicho kinawapa nguvu ya kuibomoa Simba, lakini wasiwasi wangu wasije kuwa wanawatumia wachezaji wa Simba kama turufu za uchaguzi baadaye kufikia mwisho wa msimu tusikie wachezaji wanapewa posho za elfu kumi huku wakisafiri kwenda Mwanza na Bukoba.lazima ichanganye watu mzee, 5-0 si mchezo ktk karne hii.
Nadhan ndo kipigi hicho kinawapa nguvu ya kuibomoa Simba, lakini wasiwasi wangu wasije kuwa wanawatumia wachezaji wa Simba kama turufu za uchaguzi baadaye kufikia mwisho wa msimu tusikie wachezaji wanapewa posho za elfu kumi huku wakisafiri kwenda Mwanza na Bukoba.
ndomyana: Yondani kwa taarifa yako amekimbia Gwanda(neema) ameenda kujivisha Gamba(balaa) ''maamuzi yake atayajutia''
lazima ichanganye watu mzee, 5-0 si mchezo ktk karne hii.
Nadhan ndo kipigi hicho kinawapa nguvu ya kuibomoa Simba, lakini wasiwasi wangu wasije kuwa wanawatumia wachezaji wa Simba kama turufu za uchaguzi baadaye kufikia mwisho wa msimu tusikie wachezaji wanapewa posho za elfu kumi huku wakisafiri kwenda Mwanza na Bukoba.
na zile 12 ukishindia maziwa ya ngamua pale sudan hadi mwenyekiti akalala reception kwa kukosa hela hata ya gest unafkiri nani atabaki
yanga na viongozi wake wore washenzi pumbavu kabisa
...nyie Bwana wenu Manji aliwatema last season mkakosa pesa za kuongea hadi Toto Africa akawavua Chupi, sasa subiri tarehe 15 June 2012 vyombo vitakavyoshushwa pale Msimbazi.