OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Hili swala likienda CAF Tanzania inaweza kufungiwa kwa kosa la kupindisha sheria za CAF na FIFATimu zikisajili huwa wanapeleka majina TFF. Na TFF wenyewe ndio wanidhinisha acheze ama vipi. Sasa cha kujiuliza TFF jina la Kessy walilipitisha?