Yanga ina mashabiki Waislamu, Wakristo, wapagani, wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF, wasionachama n.k

Yanga ina mashabiki Waislamu, Wakristo, wapagani, wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF, wasionachama n.k

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
  1. Kuna mashabiki wa Yanga ni Waislamu
  2. Kuna mashabiki wa Yanga ni Wakristo
  3. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  4. Kuna mashabiki wa Yanga ni wachawi
  5. Kuna mashabiki wa dini ya ki-hindu
  6. Kuna mashabiki wa Yanga ni CCM,
  7. Kuna mashabiki wa Yanga ni CHADEMA
  8. Kuna mashabiki Yanga hawana chama
Kwa tukio la ajana mtu anakuambia ana-hama Yanga ni jambo la ajabu sana

Shuhuli nyingi za Yanga mara nyingi ni mashehe wanatoa dua ila huwezi kuta mchungaji wa dhehebu lolote lile au hata padre mbona sisi wakristo hatujahama timu wala kulalamika sababu hamna maana yeyote ya kulalamikia hilo jambo

Siku ukiingia uongozi wa Yanga unaoaffiliate na act, chadema, au chauma basi utajifungamanisha na hivyo vyama, kama ilivyo sasa uongozi uliopo umejifungamanisha na ccm ilo liko wazi sasa nashangaa watu waliokasirika na kuama timu hawajafikiria kwa mapana

Hizi timu zinamambo mengi ya ajabu na yataendelea kuwepo

Mimi sio mshabiki wa ccm ila siwezi hama timu eti kwa sababu yanga kachangia ccm

Na fahamu nchi ya Tanzania siasa imeingilia sana mpira iko mifano mingi sana na hii imesababishwa na timu kunyimwa uwezo wa kujiendesha na kuendelea kutegemea watu na as long zinategemea watu mambo kama haya hayataisha
 
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
  1. Kuna mashabiki wa Yanga ni waislamu
  2. Kuna mashabiki wa Yanga ni wakristo
  3. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  4. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  5. Kuna mashabiki wa Yanga ni ccm,
  6. Kuna mashabiki wa Yanga ni chadema
  7. Kuna mashabiki Yanga hawana chama
Kwa tukio la ajana mtu anakuambia ana-hama Yanga ni jambo la ajabu sana

Shuhuli nyingi za Yanga mara nyingi ni mashehe wanatoa dua ila huwezi kuta mchungaji wa dhehebu lolote lile au hata padre mbona sisi wakristo hatujahama timu

Siku ukiingia uongozi wa Yanga unaoaffiliate na act, chadema, au chauma basi utajifungamanisha na hivyo vyama, kama ilivyo sasa uongozi uliopo umejifungamanisha na ccm ilo liko wazi sasa nashangaa watu waliokasirika na kuama timu hawajafikiria kwa mapana
The actions of Young African Sports Club President, Eng. Hersi, on Aug 12, 2025 at Mlimani City, Dar es Salaam Tanzania publicly contributing, on behalf of the club, to and endorsing a political party @ccm_tanzania, constitute a direct and unequivocal breach of the FIFA Code of Ethics, specifically:

•Article 14 – Duty of Neutrality
•Article 19 – Conflicts of Interest

These rules strictly prohibit football officials from engaging in political activities or using their position to promote political interests.
 
The actions of Young African Sports Club President, Eng. Hersi, on Aug 12, 2025 at Mlimani City, Dar es Salaam Tanzania publicly contributing, on behalf of the club, to and endorsing a political party @ccm_tanzania, constitute a direct and unequivocal breach of the FIFA Code of Ethics, specifically:

•Article 14 – Duty of Neutrality
•Article 19 – Conflicts of Interest

These rules strictly prohibit football officials from engaging in political activities or using their position to promote political interests.
Elewa kwanza uzi na acha kutumia emotion, hizi timu zimeshafanya mambo mengi ya hovyo na wataendelea kufanya
 
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
  1. Kuna mashabiki wa Yanga ni waislamu
  2. Kuna mashabiki wa Yanga ni wakristo
  3. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  4. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  5. Kuna mashabiki wa Yanga ni ccm,
  6. Kuna mashabiki wa Yanga ni chadema
  7. Kuna mashabiki Yanga hawana chama
Kwa tukio la ajana mtu anakuambia ana-hama Yanga ni jambo la ajabu sana

Shuhuli nyingi za Yanga mara nyingi ni mashehe wanatoa dua ila huwezi kuta mchungaji wa dhehebu lolote lile au hata padre mbona sisi wakristo hatujahama timu

Siku ukiingia uongozi wa Yanga unaoaffiliate na act, chadema, au chauma basi utajifungamanisha na hivyo vyama, kama ilivyo sasa uongozi uliopo umejifungamanisha na ccm ilo liko wazi sasa nashangaa watu waliokasirika na kuama timu hawajafikiria kwa mapana
Non sense ❌❌❌❌
 
Tatizo una
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
  1. Kuna mashabiki wa Yanga ni Waislamu
  2. Kuna mashabiki wa Yanga ni Wakristo
  3. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  4. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  5. Kuna mashabiki wa Yanga ni CCM,
  6. Kuna mashabiki wa Yanga ni CHADEMA
  7. Kuna mashabiki Yanga hawana chama
Kwa tukio la ajana mtu anakuambia ana-hama Yanga ni jambo la ajabu sana

Shuhuli nyingi za Yanga mara nyingi ni mashehe wanatoa dua ila huwezi kuta mchungaji wa dhehebu lolote lile au hata padre mbona sisi wakristo hatujahama timu

Siku ukiingia uongozi wa Yanga unaoaffiliate na act, chadema, au chauma basi utajifungamanisha na hivyo vyama, kama ilivyo sasa uongozi uliopo umejifungamanisha na ccm ilo liko wazi sasa nashangaa watu waliokasirika na kuama timu hawajafikiria kwa mapana
Tatizo unafikiria kilocal sana. Mpira una rules zake internationally so long timu yako iko recognised na FIFA.
 
Kweli wenye akili huko ni Sunday manara na msoga tu.
 
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
  1. Kuna mashabiki wa Yanga ni Waislamu
  2. Kuna mashabiki wa Yanga ni Wakristo
  3. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  4. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  5. Kuna mashabiki wa Yanga ni CCM,
  6. Kuna mashabiki wa Yanga ni CHADEMA
  7. Kuna mashabiki Yanga hawana chama
Kwa tukio la ajana mtu anakuambia ana-hama Yanga ni jambo la ajabu sana

Shuhuli nyingi za Yanga mara nyingi ni mashehe wanatoa dua ila huwezi kuta mchungaji wa dhehebu lolote lile au hata padre mbona sisi wakristo hatujahama timu

Siku ukiingia uongozi wa Yanga unaoaffiliate na act, chadema, au chauma basi utajifungamanisha na hivyo vyama, kama ilivyo sasa uongozi uliopo umejifungamanisha na ccm ilo liko wazi sasa nashangaa watu waliokasirika na kuama timu hawajafikiria kwa mapana

Mnafanya nini huko?
 
Leo umepuyanga Mkuu.

Ni heri ungekaa kimya, si kila jambo kulianzishia uzi.

Wakati mwingine ficha ujinga wako usijianike hivi mbele ya hadhara wote tukafahamu kuwa wewe ni mjinga.
Eng hersi na GSM hawezi kaa yanga milele wataondoka kama walivyoikuta Yanga
 
Leo umepuyanga Mkuu.

Ni heri ungekaa kimya, si kila jambo kulianzishia uzi.

Wakati mwingine ficha ujinga wako usijianike hivi mbele ya hadhara wote tukafahamu kuwa wewe ni mjinga.
Ujuaji mwingi unakua expose unaonekana dishi limeyumba 🤣🤣🤣

Unasikia dogo Dennis Robert Shughuru FIFA ina statues zake kwa hizi timu za mpira wa miguu ambao ni wanachama wake.
IMG-20250813-WA0079.jpg

Yanga anabanwa na huu Muongozo namba 19
 
Tatizo hujui asili halisi ya uanzishwaji wa Yanga, walionzisha Yanga, na asili ya eneo ambalo Yanga imeanzishwa.
 
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
  1. Kuna mashabiki wa Yanga ni Waislamu
  2. Kuna mashabiki wa Yanga ni Wakristo
  3. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  4. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  5. Kuna mashabiki wa Yanga ni CCM,
  6. Kuna mashabiki wa Yanga ni CHADEMA
  7. Kuna mashabiki Yanga hawana chama
Kwa tukio la ajana mtu anakuambia ana-hama Yanga ni jambo la ajabu sana

Shuhuli nyingi za Yanga mara nyingi ni mashehe wanatoa dua ila huwezi kuta mchungaji wa dhehebu lolote lile au hata padre mbona sisi wakristo hatujahama timu

Siku ukiingia uongozi wa Yanga unaoaffiliate na act, chadema, au chauma basi utajifungamanisha na hivyo vyama, kama ilivyo sasa uongozi uliopo umejifungamanisha na ccm ilo liko wazi sasa nashangaa watu waliokasirika na kuama timu hawajafikiria kwa mapana
waondoke ti wakashanikie timu za kwao wasitubabaishe hawajachangishea
 
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
  1. Kuna mashabiki wa Yanga ni Waislamu
  2. Kuna mashabiki wa Yanga ni Wakristo
  3. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  4. Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
  5. Kuna mashabiki wa Yanga ni CCM,
  6. Kuna mashabiki wa Yanga ni CHADEMA
  7. Kuna mashabiki Yanga hawana chama
Kwa tukio la ajana mtu anakuambia ana-hama Yanga ni jambo la ajabu sana

Shuhuli nyingi za Yanga mara nyingi ni mashehe wanatoa dua ila huwezi kuta mchungaji wa dhehebu lolote lile au hata padre mbona sisi wakristo hatujahama timu

Siku ukiingia uongozi wa Yanga unaoaffiliate na act, chadema, au chauma basi utajifungamanisha na hivyo vyama, kama ilivyo sasa uongozi uliopo umejifungamanisha na ccm ilo liko wazi sasa nashangaa watu waliokasirika na kuama timu hawajafikiria kwa mapana
Kwahiyo wewe unadhani una akili kuliko FIFA??

Hakuna mtu anaksirika watu kiwa na mambo yao.

Shida ni matumizi ya taasisi kufanya hayo mambo.

Basi watangazie umma kuwa Yanga ni TIMU ya waislamu wa CCM.

Umma ujue.
 
Back
Top Bottom