Yanga imebadilisha makocha mara tatu na bado imetwaa vikombe vyote msimu 2024/25

Yanga imebadilisha makocha mara tatu na bado imetwaa vikombe vyote msimu 2024/25

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
2,507
Reaction score
4,933
Wakati msimu unaanza, Miguel Gamondi aliendelea na kazi yake, Ila mashabiki wengi hatukufurahishwa na mwenendo wa matokeo ya ushindi mwembamba, Yanga ilikuwa inashinda lakini kwa taabu, hatimaye Tabora na Azam wakachukua alama. Tukaona isiwe kesi, ikatua mashine ya Kijerumani, pira likaguswa, likaachiwa watu wakaenda kwao! Huenda bila kuyumba kidogo Yanga angetinga robo fainali CAFCL. baada ya kuondoka akaingia silent killer mmoja asiyeimbwa sana, Miloud Hamdi, akampiga mtu 2 akapita akaenda zake. Kwa kifupi pamoja na hekaheka zote za makocha bado wapinzani wameshindwa kufurukuta! Unadhani sababu ni nini?
images - 2025-07-24T211050.909.jpeg
 
Wakati msimu unaanza, Miguel Gamondi aliendelea na kazi yake, Ila mashabiki wengi hatukufurahishwa na mwenendo wa matokeo ya ushindi mwembamba, Yanga ilikuwa inashinda lakini kwa taabu, hatimaye Tabora na Azam wakachukua alama. Tukaona isiwe kesi, ikatua mashine ya Kijerumani, pira likaguswa, likaachiwa watu wakaenda kwao! Huenda bila kuyumba kidogo Yanga angetinga robo fainali CAFCL. baada ya kuondoka akaingia silent killer mmoja asiyeimbwa sana, Miloud Hamdi, akampiga mtu 2 akapita akaenda zake. Kwa kifupi pamoja na hekaheka zote za makocha bado wapinzani wameshindwa kufurukuta! Unadhani sababu ni nini?
View attachment 3417132
Udhaifu wa timu shindani
 
Back
Top Bottom