inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,306
- 18,771
Mlegezo ni mtindo wa miaka ya 70,ukafufuka 90 katikati...Mimi nawashangaa kuvaa nguo imechanwa kusudiUngevaa tu. Leo sisi tunawashangaa vijana wanavyovaa mlegezo. Wenyewe wanaona ni sawa tu.
Kandambili kipindi hicho zilikua za umoja tu,ambazo zote zitakua na rangi ya njano katikatiKuna dhana mbili. Moja ni kuwa mashbiki wa Yanga huvua kandambili zao na kuzishika mkononi wakisukuma basi lao kutoka Karume au taifa mpaka Jangwani. Wakawa wanaitwa kandambili.
Dhana ya pili, ni wakati wa mgawanyiko, Kina Shiraz na Mangara wakawa wanawaambia wachezaji waliobaki na Tambwe Leya kuwa achaneni na hao kandambili., jina walilokuwa Malo kabla ya mgawanyiko mje huku Raizoni.
Mashbiki wa Simba pia walikuwa wakijiita Raizoni.
Halafu Yanga hatuchukii tukiitwa kandambili. Tulipokea jina hilo with pride kutoka kwa wazee wetu. Nakumbuka tawi la Yanga mtaa wa Mkumba Temeke lilikuws linaitwa "Msichoke" na lilikuws na picha ya Kandambili kubwa tu ya kuchora kwenye ubao.
Hebu tuambie kwanini Uingereza kuna QUEENS PARK RANGERS?Ilikuwaje Simba mkajiita QUEENS FC kwa kupenda wenyewe???????
Not true. Zilikuwepo za blue na nyekundu pia.Kandambili kipindi hicho zilikua za umoja tu,ambazo zote zitakua na rangi ya njano katikati
BORA YANGA KANDAMBILI KULIKO SIMBA MBUMBUMBUMbumbumbu ni mtu asiyejua kitu na hajui kama hajui.
Haya. Ni kwa nini Yanga wanaitwa Kandambili??
Yanga mdebwedoBORA YANGA KANDAMBILI KULIKO SIMBA MBUMBUMBU
Hata zikiwa nyekundu na blue Ila ule mstari wa njano haukosekaniNot true. Zilikuwepo za blue na nyekundu pia.
Nyingi lakini zipo zenye mstari mweupe pia.Hata zikiwa nyekundu na blue Ila ule mstari wa njano haukosekani
Kama msitari ulikua mweupe na si njano labda ni 90 katikati kuja mbele...huko nyuma msitari ulikua njano tuNyingi lakini zipo zenye mstari mweupe pia.
Ila hiyo siyo sababu ya Yanga kuitwa kandambili.
Ilikuwepo mistari myeupe. Na ilikuwepo isiyo na mistari kabisa before 90s.Kama msitari ulikua mweupe na si njano labda ni 90 katikati kuja mbele...huko nyuma msitari ulikua njano tu
Sikuwahi ona umoja ikiwa na msitari tofauti na njano toka 80-90,sababu ya yanga kuitwa Kanda mbili ni nini?Ilikuwepo mistari myeupe. Na ilikuwepo isiyo na mistari kabisa before 90s.
na hiyo siyo sababu ya yanga kuitwa kandambili. Ni class issue.
Utakuja kumfahamu vizuri huyu jamaa.πππ
View attachment 2404733
Nimetoa sababu hapo juu.Sikuwahi ona umoja ikiwa na msitari tofauti na njano toka 80-90,sababu ya yanga kuitwa Kanda mbili ni nini?
No kipindi kile hapakua na Kanda mbili zaidi ya umoja,mpaka 90 zilipokuja skyway na sunswallow,tukazitumia Kama viwalo sikukuu kwa muundo wake tofautiNimetoa sababu hapo juu.
Hukuwahi kuona vitu vingi sana mkuu, haimaanishi havikuwepo.
Kutaja tawi la mtaa wa Mkumba umenikumbusha mbali sana, Mzee alikua akinichukua kwenda nae pale tawini nikiwa Nina umri mdogo. Kahawa na Tangawizi kashata za Nazi, palichangamka sana.Kuna dhana mbili. Moja ni kuwa mashbiki wa Yanga huvua kandambili zao na kuzishika mkononi wakisukuma basi lao kutoka Karume au taifa mpaka Jangwani. Wakawa wanaitwa kandambili.
Dhana ya pili, ni wakati wa mgawanyiko, Kina Shiraz na Mangara wakawa wanawaambia wachezaji waliobaki na Tambwe Leya kuwa achaneni na hao kandambili., jina walilokuwa Malo kabla ya mgawanyiko mje huku Raizoni.
Mashbiki wa Simba pia walikuwa wakijiita Raizoni.
Halafu Yanga hatuchukii tukiitwa kandambili. Tulipokea jina hilo with pride kutoka kwa wazee wetu. Nakumbuka tawi la Yanga mtaa wa Mkumba Temeke lilikuws linaitwa "Msichoke" na lilikuws na picha ya Kandambili kubwa tu ya kuchora kwenye ubao.
Jibu ni UMASKINI!! Kipindi hicho mwenyekiti wa Yanga alikuwa anaitwa Mzee Taabu Mangara. Maarufu sana ila ila pochi ni nyembamba kama chapati!! Kwa hiyo waliitwa kandambili kuonesha kuwa ni timu maskini sana!Me sijui ila subiri waje wakina kaka Mshana Jr watupe history kdg