Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...sasa nimethibitisha uhusiano baina ya hawa kandambili na CCM, ndio maana hata wakishinda utawasikia,
...Jakaya Mrisho wa Kikwete yeye ndio mnazi hasa, tena maskani yake yalikuwa pale mwembe Yanga, Mzee Mwinyi ndio ohoooo..., 'Mchonga' yeye angalau alificha ficha makucha japo mnh(!?), Mzee Karume yeye hakujizuia, aliwajengea pale Jangwani!
Mbaya zaidi (kwetu sie Taifa Kubwa), leo huyu Makamba naye analeta viroja vyake;
...yaani huyu bwana mkubwa hakuona mfano mwingine kama SIMBA TAIFA KUBWA, yeye kakazana Yanga, Yanga... pheeeeeeww, tunaongozwa na YANGA injii hii!
"...CCM! CCM! CCM!..."
...kama hilo halitoshi kila kiongozi anayeingia madarakani (tangu Uhuru) anatokea kwenye mizizi ya hawa 'sie Yanga khakhaaaaa...!'...Jakaya Mrisho wa Kikwete yeye ndio mnazi hasa, tena maskani yake yalikuwa pale mwembe Yanga, Mzee Mwinyi ndio ohoooo..., 'Mchonga' yeye angalau alificha ficha makucha japo mnh(!?), Mzee Karume yeye hakujizuia, aliwajengea pale Jangwani!
Mbaya zaidi (kwetu sie Taifa Kubwa), leo huyu Makamba naye analeta viroja vyake;
HARAKATI za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge cha jimbo la Busanda zimeanza kwa staili ya aina yake baada ya katibu mkuu wa CCM, Yusuph Makamba kuvitahadharisha vyama vingine vya siasa kuwa viende kwenye kinyang'anyiro hicho vikijua kuwa chama hicho tawala ni mshindi, akisema "CCM ni kama Yanga"...
"Jimbo ni mali ya CCM na tutalitetea kama Yanga walivyotetea ubingwa wao kwa kutwaa kombe kabla ya ligi kumalizika. Wanachama wakae mkao wa kugombea kiti cha jimbo hilo," alisema Makamba.
"Hili ni jimbo letu CCM hivyo tutalitwaa kama Yanga," alitamba katibu huyo, ambaye alilaumiwa sana baada ya CCM kushindwa kulitwaa jimbo la Tarime
chanzo; Mwananchi Read News
...yaani huyu bwana mkubwa hakuona mfano mwingine kama SIMBA TAIFA KUBWA, yeye kakazana Yanga, Yanga... pheeeeeeww, tunaongozwa na YANGA injii hii!