yanga oyeee.....simba kama zitto
Kwa Tanzania hatujambo ila tukikutana na mafarao wa Misri mmmmhhh...Hongera Taifa stairs hongera Yanga
Hakuna cha visingizio hapa nyie subirini kichapo tu! Labda kujaribu kupunguza mabao isiwe fedheha kwa TaifaYa ni kweli kwa waarabu hatuna ujanja, ila ni suala la hatua kwa hatua. Kwa Yanga hii wanahitaji muda kidogo ili waweze kuwa washindani wa kweli kwenye mashindano ya kimataifa, kikosi ni kizuri ila suala la ufundi, coordination na discipline (sio ile ya Maximo) bado kidogo.
utadhani kipofu kaona mwezi, Yanga bingwa, yanga Bingwa,...mnakeraaaaaaaaaaaaaa!!!!
Simba Taifa Kubwa!
- Sasa Simba tutawapiga mara ngapi jamani?
utadhani kipofu kaona mwezi, Yanga bingwa, yanga Bingwa,...mnakeraaaaaaaaaaaaaa!!!!
Simba Taifa Kubwa!