Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 13,191 Reaction score 20,485 May 13, 2024 #1 Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi!
Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi!
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 19,482 Reaction score 71,103 May 13, 2024 #2 Match zilizobaki tunamchukulia Azizi kiatu chake
Doji MD JF-Expert Member Joined Dec 27, 2019 Posts 2,472 Reaction score 5,331 May 13, 2024 #3 Bado kiatu
Bengal JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 25,812 Reaction score 28,089 May 13, 2024 #4 Ileje said: Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi! Click to expand... Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠
Ileje said: Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi! Click to expand... Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠
Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 13,191 Reaction score 20,485 May 13, 2024 Thread starter #5 Bengal said: Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠 Click to expand... Semaji la kimataifa limepotea kusikojulikana!
Bengal said: Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠 Click to expand... Semaji la kimataifa limepotea kusikojulikana!