Simba hana timu ya kumfunga Yanga! Doumbia haoni lango huwa anaokoa! Simba hawana mtu wa kumdhibiti Shalulile! Hawana timu ya kumdhibiti Zoukouani asilete madhara langoni!Yanga hana timu ya kumfunga simba kwa sasa. Maeneo mengi sana uwanjani simba anamzidi yanga. Rejea mechi tatu zilizo pita.
Umeongea mpira na sio ushabikiIla kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo
Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga
Sawa sawaLeo kitakacho tuponza yanga ni Mabeki
Msimu uliopitaMahaba yapo wapi mkuu, mchezaji ambaye aliyekuwa akiwasumbua simba ni pacome jayupo, hawa wapya kwa ukubwa wa mechi hii pamoja na kocha mpya nawaona wakihenyeka, presha itakuwa kubwa tofauti na simba, wachezaji wao wote walioanza kwenye mechi tatu zilizopita wapo pamoja na benchi la ufundi. Mimi karata nimeiweka kwao.
Nimeuliza sababu, unaleta taarabu, mashabiki wa simba na Yanga hamjawahi kuwa na akili timamuUtajua baada ya kufungwa
Ongelea mihemko mkuu utakuja ulie au huoni hoja za maana huko juu wadau wametoaSimba hana timu ya kumfunga Yanga! Doumbia haoni lango huwa anaokoa! Simba hawana mtu wa kumdhibiti Shalulile! Hawana timu ya kumdhibiti Zoukouani asilete madhara langoni!
Hilo liko waziWakuu simba sc anamfunga mtani wake leo, sina maneno mengi 1-2 ft
Mpira hautabiriki mkuu, leo nategemea kuona mechi ngumu sana.Yanga hana timu ya kumfunga simba kwa sasa. Maeneo mengi sana uwanjani simba anamzidi yanga. Rejea mechi tatu zilizo pita.
Upo sahihi mkuu, hata mimi japo ni Yanga nimewaza hilo. Simba anaweza akaitaka zaidi hii mechi kuliko Yanga.Mahaba yapo wapi mkuu, mchezaji ambaye aliyekuwa akiwasumbua simba ni pacome jayupo, hawa wapya kwa ukubwa wa mechi hii pamoja na kocha mpya nawaona wakihenyeka, presha itakuwa kubwa tofauti na simba, wachezaji wao wote walioanza kwenye mechi tatu zilizopita wapo pamoja na benchi la ufundi. Mimi karata nimeiweka kwao.
Osmen hawezi kuanza leo, sidhani kama ataingia hata Sub.Osmien wa kulowekwa atapiga hatrick leo nimekaa pale
I second you, mimi pia ni Yanga na leo ninaona tuna kazi kubwa sana sababu Simba inaingia uwanjani ikiwa na confidence ya matokeo ya mechi 3 za nyuma.Ila kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo
Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga