Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 17,095
- 19,693
Simba hana timu ya kumfunga Yanga! Doumbia haoni lango huwa anaokoa! Simba hawana mtu wa kumdhibiti Shalulile! Hawana timu ya kumdhibiti Zoukouani asilete madhara langoni!Yanga hana timu ya kumfunga simba kwa sasa. Maeneo mengi sana uwanjani simba anamzidi yanga. Rejea mechi tatu zilizo pita.