Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Nawasalimu Wana JF!
Kuna tetesi nimezipata kutoka kwa Wadau wakubwa wa Yanga ambao wanatofauti ya kimtazamo na Uongozi Mpya wa Yanga.Kumekuwa na Makundi ambayo chanzo chake ni Ma TYCOON walili wenye ugomvi wa mda mrefu ambao nao wameamua kuitumia Yanga kama sehemu ya Uwanja wa Mapambano yao.Filamu hii ilianza tokea kipindi cha Yanga Asili na Yanga Kampuni......
"Reginald Mengi alikuwa ana heshima kubwa Yanga na akajitolea kusuluhisha mgogoro wa Yanga Asili na Yanga Kampuni.
Awali, walimsikiliza na kwenda naye sawa, lakini alipotofautiana na wenye Yanga yao, yalimgeukia pale Star Light Cinema na hadi leo hajakanyaga tena kwenye shughuli ya Yanga."
Reginald Mengi anayomilikivituo vya televisheni, redio na magazeti lukuki alishindwa kusuluhisha mgogorohuo wa Yanga licha ya kupania kwa dhati kuleta amani katika klabu hiyo.
"Muafaka kati ya makundi hayo chini ya usuluhishi wa Manji ulifikiwa Agosti, mwaka 2006 na Mei 30, mwaka 2007, klabu hiyo ya Yanga ilifanya uchaguzi wake. Manji ametoa misaada mbalimbali kwa klabu hiyo kuanzia uongozi wa Imani Madega ambaye naye ni mwanasheria."
kutokana na hali hiyo hapo utaona dhahiri wapi vita imeanzia....sasa tuendelee kipindi cha Uongozi wa Bwana Madega huyu na Manji walikuwa marafiki na hata akaingizwa madarakani na kuwa anafanya chochote ambacho bosi wake huyo anamuagiza.Lakini kipindi hiki bwana Manji alikuwa anamtumia mtu mmoja anaitwa Sabas ambaye ndiye alikuwa mwanasheria wake ni Sabas huyu ndiye aliyekuwa anapokea pesa kutoka kwa Manji kwenda Yanga via Madega.utata ulianza baada ya sabas kukimbia kwa Manji na kwenda kufanya kazi na Mengi.Hapo ndo kimbembe kimeanza,Manji akamtuhumu madega kuwa alikula pesa ya yanga wakati wa uongozi wake na Madega akajibu mapigo kwa kufungua kesi dhidi ya Manji na fidia ya bilioni 2....sasa utaona ili manji approve alichoongea mbele ya mahakama there are some people supposed to be incriminated njia rahisi ni Auditing kuanzia hapo atakuwa amemweza sabas na madega.Lakini pale kuna mchaga mmoja anaitwa Mosha huyu bwana uchaga umemponza na inaonekana dhahiri yupo kwenye kabi ya mzee RM.Hata siku ya uchaguzi wa Yanga yeye aliingia na Lambogrin na Manji aliingia na Range TDV8...ambapo Moshi alifanya hivyo ili nae kuonyesha jeuri ya pesa.
MY TAKE:Sasa hapa kuna kundi la watu wanaompinga Manji ambao wanatafuta uchochoro wa kumchomolea nje ya Yanga na sababu pekee ni Yanga kupigwa simba then watu wakinukishe.si mnakumbuka kile kikundi kilichotokea kwenye vyombo vya habari wakati manji mfadhili na kusema hawamtaki analeta migogoro ndani ya timu yao?sasa vikundi kama vile vimeongezeka na wanajaribu kuangalia kila move ya uongozi mpya ili wapate upenyo wa kuendeleza vita yao ndani ya uwanja mpya(Yanga).KAMA WEWE YANGA INAKUHUSU ...TAFAKARI...CHUKUA HATUA
KWA NILIOWAUDHI KWA UKWELI MNISAMEHE!
Kuna tetesi nimezipata kutoka kwa Wadau wakubwa wa Yanga ambao wanatofauti ya kimtazamo na Uongozi Mpya wa Yanga.Kumekuwa na Makundi ambayo chanzo chake ni Ma TYCOON walili wenye ugomvi wa mda mrefu ambao nao wameamua kuitumia Yanga kama sehemu ya Uwanja wa Mapambano yao.Filamu hii ilianza tokea kipindi cha Yanga Asili na Yanga Kampuni......
"Reginald Mengi alikuwa ana heshima kubwa Yanga na akajitolea kusuluhisha mgogoro wa Yanga Asili na Yanga Kampuni.
Awali, walimsikiliza na kwenda naye sawa, lakini alipotofautiana na wenye Yanga yao, yalimgeukia pale Star Light Cinema na hadi leo hajakanyaga tena kwenye shughuli ya Yanga."
Reginald Mengi anayomilikivituo vya televisheni, redio na magazeti lukuki alishindwa kusuluhisha mgogorohuo wa Yanga licha ya kupania kwa dhati kuleta amani katika klabu hiyo.
"Muafaka kati ya makundi hayo chini ya usuluhishi wa Manji ulifikiwa Agosti, mwaka 2006 na Mei 30, mwaka 2007, klabu hiyo ya Yanga ilifanya uchaguzi wake. Manji ametoa misaada mbalimbali kwa klabu hiyo kuanzia uongozi wa Imani Madega ambaye naye ni mwanasheria."
kutokana na hali hiyo hapo utaona dhahiri wapi vita imeanzia....sasa tuendelee kipindi cha Uongozi wa Bwana Madega huyu na Manji walikuwa marafiki na hata akaingizwa madarakani na kuwa anafanya chochote ambacho bosi wake huyo anamuagiza.Lakini kipindi hiki bwana Manji alikuwa anamtumia mtu mmoja anaitwa Sabas ambaye ndiye alikuwa mwanasheria wake ni Sabas huyu ndiye aliyekuwa anapokea pesa kutoka kwa Manji kwenda Yanga via Madega.utata ulianza baada ya sabas kukimbia kwa Manji na kwenda kufanya kazi na Mengi.Hapo ndo kimbembe kimeanza,Manji akamtuhumu madega kuwa alikula pesa ya yanga wakati wa uongozi wake na Madega akajibu mapigo kwa kufungua kesi dhidi ya Manji na fidia ya bilioni 2....sasa utaona ili manji approve alichoongea mbele ya mahakama there are some people supposed to be incriminated njia rahisi ni Auditing kuanzia hapo atakuwa amemweza sabas na madega.Lakini pale kuna mchaga mmoja anaitwa Mosha huyu bwana uchaga umemponza na inaonekana dhahiri yupo kwenye kabi ya mzee RM.Hata siku ya uchaguzi wa Yanga yeye aliingia na Lambogrin na Manji aliingia na Range TDV8...ambapo Moshi alifanya hivyo ili nae kuonyesha jeuri ya pesa.
MY TAKE:Sasa hapa kuna kundi la watu wanaompinga Manji ambao wanatafuta uchochoro wa kumchomolea nje ya Yanga na sababu pekee ni Yanga kupigwa simba then watu wakinukishe.si mnakumbuka kile kikundi kilichotokea kwenye vyombo vya habari wakati manji mfadhili na kusema hawamtaki analeta migogoro ndani ya timu yao?sasa vikundi kama vile vimeongezeka na wanajaribu kuangalia kila move ya uongozi mpya ili wapate upenyo wa kuendeleza vita yao ndani ya uwanja mpya(Yanga).KAMA WEWE YANGA INAKUHUSU ...TAFAKARI...CHUKUA HATUA
KWA NILIOWAUDHI KWA UKWELI MNISAMEHE!