Yanayotukera pindi tukisafiri

Yanayotukera pindi tukisafiri

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Habari zenu

Je, umewai safiri ukaka siti moja na mtu anayenunua vitu kila sehemu au mwenye mtoto na kama ndio ilikuwaje?

Mimi naaza nilikaa na mtu anakula vibaya yaani kila kituo ananunua kitu mara mahindi ya kuchoma mara mahindi ya kuchemsha wakati lile la kuchoma hajamaliza kula mara mayai mara ndizi maziwa yaani na vyote anakula halafu sasa akaaza kujiongelesha ase nilikaa kimya nikamkata jicho hakurudia tena kuongea
 
Enzi hizo nilikuwa nikisafiri safari ndefu hua natapika.
Sasa kuna siku natoka Arusha naenda Mbeya, tumefika ndani ndani huko hali ikawa tafrani nikashindwa hata kufungua dirisha ili nitapikie nje na nilikuwa sijabeba mfuko, ile kushindwa kufungua dirisha sasa wakati narudisha kichwa chini ili nitapikie kwenye gari bahati mbaya nikamtapikia mama fulani aliyekaa pembeni yangu, aisee yule mama aliongea maneno yote mimi hapo hata sielewi mana niko hoi ikabidi gari lisimame nikatoka nje kupata upepo na nikapewa mfuko kujisitiri.
Itaendelea................ 😎
 
Habari zenu

Je umewai safiri ukaka siti moja na mtu anae nunua vitu kila sehemu au mwenye mtoto na Kama ndio ilikuwaje?

Mm naaza nilikaa na mtu anakula vibaya yaani kila kituo Ana nunua kitu mara maindi ya kuchoma mara maindi ya kuchemsha wakt lile la kuchoma ajamaliza kula mara mayai mara ndizi maziwa yaani na vyote anakula af sasa akaaza kujiongelesha ase nilikaa kimya nikamkata jicho hakuludia Tena kuongea
Mwandiko wako wa bata.

Yanayotukela ndio nini?
 
Habari zenu

Je umewai safiri ukaka siti moja na mtu anae nunua vitu kila sehemu au mwenye mtoto na Kama ndio ilikuwaje?

Mm naaza nilikaa na mtu anakula vibaya yaani kila kituo Ana nunua kitu mara maindi ya kuchoma mara maindi ya kuchemsha wakt lile la kuchoma ajamaliza kula mara mayai mara ndizi maziwa yaani na vyote anakula af sasa akaaza kujiongelesha ase nilikaa kimya nikamkata jicho hakuludia Tena kuongea
Huyo anafaa kuwa waziri kwani anawaunga mkono wafanyabiashara machinga na mamantilie, ila wewe una roho ya korosho.
 
Mie wananikera wahubiri wa injili.yaani wanahubiri bila kujua utofauti wa imani za abiria na wengine wamechoka wanahitaji kupumzika.wakishamaliza wanaomba sadaka.njaa tu
 
Mie wananikera wahubiri wa injili.yaani wanahubiri bila kujua utofauti wa imani za abiria na wengine wamechoka wanahitaji kupumzika.wakishamaliza wanaomba sadaka.njaa tu
Bila shaka utakuwa na masheitwani😂😂
 
Habari zenu

Je umewai safiri ukaka siti moja na mtu anae nunua vitu kila sehemu au mwenye mtoto na Kama ndio ilikuwaje?

Mm naaza nilikaa na mtu anakula vibaya yaani kila kituo Ana nunua kitu mara maindi ya kuchoma mara maindi ya kuchemsha wakt lile la kuchoma ajamaliza kula mara mayai mara ndizi maziwa yaani na vyote anakula af sasa akaaza kujiongelesha ase nilikaa kimya nikamkata jicho hakuludia Tena kuongea
Mimi yanayo nikera ni mtu kusema YANAYO KUKELA badala kusema yanayo kukera wakati juzi Tu hapa ilikuwa siku ya kiswahili Ulimwenguni hilo linanikera sana kuharibiwa lugha yangu ADHIMU
 
Habari zenu

Je umewai safiri ukaka siti moja na mtu anae nunua vitu kila sehemu au mwenye mtoto na Kama ndio ilikuwaje?

Mm naaza nilikaa na mtu anakula vibaya yaani kila kituo Ana nunua kitu mara maindi ya kuchoma mara maindi ya kuchemsha wakt lile la kuchoma ajamaliza kula mara mayai mara ndizi maziwa yaani na vyote anakula af sasa akaaza kujiongelesha ase nilikaa kimya nikamkata jicho hakuludia Tena kuongea
Doo
 
Watoto wadogo tunawapenda, lakini kukaa siti moja na mama mwenye mtoto asiyetulia, inabidi ujiandae, maana kuna muda itabidi umsaidie kumshika
 
Watoto wadogo tunawapenda, lakini kukaa siti moja na mama mwenye mtoto asiyetulia, inabidi ujiandae, maana kuna muda itabidi umsaidie kumshika
Bora kumshika ushawai kukojolewa we
 
Mimi nikisafiri huwa ninaomba nisikae na Mama mwenye watoto seat moja.Unakuta Mama anawatoto wawili na anamafurushi kibao anayaweka chini ya seat mengine anayapakata.Mara mtoto akukanyage Mara ukishika simu aililie.Akianza kumlisha Mara akupake vyakula,basi naonaga tabu tupu.
 
Wanakera bhana! Wengine tumekaa na warembo tunangojea kuwala kimasihara tukifika G.House, sasa wao wanahubiri uzinzi badala ya ajali
Acha uzinzi...

Mithali 6:32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom