joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Lock down ni ngumu kwenye hizi nchi zetu. Lakini ndio njia pekee ya kupunguza kuenea kwa ugonjwa...
Sasa hawa watu wanapigwa kwa kosa gani?, mbona hao wamama hawajafanya kosa lolote?.Lock down ni ngumu kwenye hizi nchi zetu. Lakini ndio njia pekee ya kupunguza kuenea kwa ugonjwa...
Kenya is really a failed stateI wonder why I was born from this world!!