franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Simba,Yanga Ni timu kubwa ila sijawahi kusikia wanamgombania mchezaji fulani na timu Kama Al ahly, mamelodi, wydad nk.... Ukubwa uko wapi Sasa??????
Pia kwanini hatusajili waarabu huku east?? wakati waarabu wanasajili sanaa mchezaji Yoyote mweusi but awe na kiwango kikubwa.
Acheni ufala nyie wafia timu shtukeni, mpira wa TZ Ni wachache Sanaa wanapiga hela, hakuna mtu loyal kabisa
Mtu loyal Ni family YAKo pale utakapo tangazwa Kama mtendaji mkuu/mjumbe/mwenyekiti wa timu fulani, tofauti na hapo ww Ni bendera fuata upepo TU
Nimemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kwanini hatusajili waarabu huku east?? wakati waarabu wanasajili sanaa mchezaji Yoyote mweusi but awe na kiwango kikubwa.
Acheni ufala nyie wafia timu shtukeni, mpira wa TZ Ni wachache Sanaa wanapiga hela, hakuna mtu loyal kabisa
Mtu loyal Ni family YAKo pale utakapo tangazwa Kama mtendaji mkuu/mjumbe/mwenyekiti wa timu fulani, tofauti na hapo ww Ni bendera fuata upepo TU
Nimemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app