Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,891
Hii ni kweli kabisa wengi wetu tunakesha club kisha asubuhi tunaenda kuuza sura kanisani.
Ufunuo 3:15-16 unasema
15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
tena mafupi kwelikweliMaisha ya kisasa yasio zingatia maadili hayo
Kama maisha ya funza.tena mafupi kwelikweli
Hatari tupuKama maisha ya funza.